kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
- Thread starter
-
- #41
Wewe umetokota hizi ni habari za ndani labda uwe karibu na viongozi au wachezaji ni wewe peke yako ndio upo mbuga ya katavi utapata wapi habari kama hii mpira wenyewe unasikilizia kwenye redio!Eti shabiki pole yako ndio maana nakwambia hizo propaganda uchwara kawaeleze waliokutuma kwamba wametokota,,utawaokota wasiojielewa
Toa tu, mara moja sio mbaya. Ila mpe muda, asizidi dakika 15Ndio nipo ndani hapa, sitaki hata kutoka nje maana niliweka ahadi nzito kuhusu timu yangu😔
Ndio hali halisi!Ni kweli maana Aziz K alienda kumwambia kocha kua Mwamnyeto asipangwe ni mchomeshaji na uwezo wake ni mdogo
Duuh!Yanga na Wifi yao mobeto.
Sanaa anataka kufanya yote!Chaijaba ni mnoko sana
Asa nitoe nini, yaani we umeshaenda mbali🤭🤭🤭Toa tu, mara moja sio mbaya. Ila mpe muda, asizidi dakika 15
Asante mwenzangu.Usiogope sana ni leo tu yatapita!
Bila ya picha au video ya tukio itakuwa ni majungu tuUle utovu wa nidhamu umeendelea kutamalaq kupelekea wachezaji waaandamizi Aziz Ki na Mwamnyeto kuchapana makonde mbele ya kocha mpya, inasemekana Mwamnyeto anamtuhumu Aziz Ki kupeleka majungu kwa viongozi na kocha mpya kuhusu baadhi ya wachezaji kuwa hawafai kupata namba.
Hizo habari tulishindwa kuzitoa tangu asubuhi tulijua zinaweza kuwachangaya wana yanga!
Hayo majungu kapikie lakini ukweli unabaki kuwa kweli!Bila ya picha au video ya tukio itakuwa ni majungu tu
Karibu sana tupo pamoja ulaya njoo liverpool unenepe!Asante mwenzangu.
Umenitia moyo.