Yanga komaeni kushinda mechi zenu: Hii ndoto ya kutaka Al Ahly amfunge CRB ugenini ni ndoto ya bafuni wakiwa wanaoga!!

Yanga komaeni kushinda mechi zenu: Hii ndoto ya kutaka Al Ahly amfunge CRB ugenini ni ndoto ya bafuni wakiwa wanaoga!!

Ndugu mbumbumbu pumzika, Yanga isikufanye ukose usingizi.
Nakukumbusha Juzi 19/12/2023 Pyramids amefungwa kwao wakati alipata sare kule south.
Upe mpira heshimayake.
Achana na huyo hajui chochote kuhusu football.
 
Namna pekee (the only scenario) ya Yanga kutinga robo fainali ni ya kushinda mechi zake zote mbili zilizobaki dhidi ya CRB nyumbani na dhidi ya Al Ahly wakiwa ugenini! Kama ubavu huo hawana wasahau ndoto za kuingia hatua ya robo fainali!!

Kama Al Ahly alishindwa kumfunga CRB akiwa nyumbani ni vigumu kudhani kuwa atamfunga akiwa ugenini, akijitahidi sana ni sare!!

Sare hiyo itamfanya yanga awe wa tatu kwenye msimamo (based on head to head). Halafu kumbukeni kuwa CRB ina mchezo mmoja rahisi dhidi ya Medeama ikiwa nyumbani!!

Medeama ikiwa nyumbani ilipomfunga CRB ni kama Ihefu ikiwa nyumbani ilivyomfunga Yanga, hilo haiepushi vipigo mfululizo kama Ihefu ambavyo haikuepushwa vipigo mfululizo!! Medeama ni kama mashujaa wa kigoma tu!! Ilianza kwa kishindo na kupotea!!

NAKAZIA: Yanga jipangeni kushinda mechi zenu!!
Kushinda mechi zake tu haitoshi
Lazima waombe CRB afungwe na Al Ahly
Simba ndio wanatakiwa kushinda mechi zao bila kuangalia matokeo ya wengine
 
Wapuuzi nyie mtuache na Yanga yetu hatujaomba ushauri. Ila watu wa Simba wehu kweli,yaani Mpira unaochezwa na pacome unalinganisha na butua butua ya Kapombe si uwehu.

Yaani Yanga hii yeyote aje anapigwa popote mzee, Al Ahal kwake anakufa.Tunawaza tutachezaje fainali CL.
 
Kitu ambacho watu wengi hawajui ni kuwa hata al ahaly nae ana tumbo joto kuna uwezekano nae asitoboe, ili kujiwekea Mazingira mazuri inabidi amfunge kwanza CRB
 
Ndugu mbumbumbu pumzika, Yanga isikufanye ukose usingizi.
Nakukumbusha Juzi 19/12/2023 Pyramids amefungwa kwao wakati alipata sare kule south.
Upe mpira heshimayake.
Una hoja .....

Kila mtu ashinde mechi zake,mahesabu baadae
 
Namna pekee (the only scenario) ya Yanga kutinga robo fainali ni ya kushinda mechi zake zote mbili zilizobaki dhidi ya CRB nyumbani na dhidi ya Al Ahly wakiwa ugenini! Kama ubavu huo hawana wasahau ndoto za kuingia hatua ya robo fainali!!

Kama Al Ahly alishindwa kumfunga CRB akiwa nyumbani ni vigumu kudhani kuwa atamfunga akiwa ugenini, akijitahidi sana ni sare!!

Sare hiyo itamfanya yanga awe wa tatu kwenye msimamo (based on head to head). Halafu kumbukeni kuwa CRB ina mchezo mmoja rahisi dhidi ya Medeama ikiwa nyumbani!!

Medeama ikiwa nyumbani ilipomfunga CRB ni kama Ihefu ikiwa nyumbani ilivyomfunga Yanga, hilo haiepushi vipigo mfululizo kama Ihefu ambavyo haikuepushwa vipigo mfululizo!! Medeama ni kama mashujaa wa kigoma tu!! Ilianza kwa kishindo na kupotea!!

NAKAZIA: Yanga jipangeni kushinda mechi zenu!!

Duh nilisahau huu mchezo wa CRB Na madema. Bado hatari ipo

Mbaya Ahly anachezea ugenini ni aidha afungwe au afanye draw. Halaf madema akienda Algeria atakufa kama alivokufa Yanga


Yanga hawezi kumfunga Ahly pale Cairo kama alivyoshindwa kumfunga CRB pale Algiers

Mambo bado tait Ila all is possible in football
 
Mayele alipoona wametoa sare na Pyramid yeye akiwa Cairo aliwakebehi Mamelodi kuwa wamehusika asipate Visa haraka ili asicheze hiyo mechi Mamelodi hawakumjibu kitu ila baada ya gemu ya Cairo Mayele alicheza na wakafungwa goli moja ndio wakamjibu kuwa Mamelodi ni taasisi kubwa hawawezi kufanya hizo mambo za Visa kwa mtu yeyote kwa hiyo mkuu mpira kwa hawa Wakubwa hauna nyumbani wala ugenini unakufa popote ukipotea tuu...
 
Mayele alipoona wametoa sare na Pyramid yeye akiwa Cairo aliwakebehi Mamelodi kuwa wamehusika asipate Visa haraka ili asicheze hiyo mechi Mamelodi hawakumjibu kitu ila baada ya gemu ya Cairo Mayele alicheza na wakafungwa goli moja ndio wakamjibu kuwa Mamelodi ni taasisi kubwa hawawezi kufanya hizo mambo za Visa kwa mtu yeyote kwa hiyo mkuu mpira kwa hawa Wakubwa hauna nyumbani wala ugenini unakufa popote ukipotea tuu...
Kwa lile ball nililoliiona Jana Al ahly atampasua Belouizdad za kutosha Tu..
 
Kwa lile ball nililoliiona Jana Al ahly atampasua Belouizdad za kutosha Tu..
Mpira wa kule wanakaba nafasi huku wanakaba mtu na nafasi ndio maana Al Ahly na hata Man City utawaona wanacheza vizuri mno ila njoo uwaweke na Timu za Afrika nao wanatafuta sare kwa kupoteza muda...
 
Back
Top Bottom