Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na huyo hajui chochote kuhusu football.Ndugu mbumbumbu pumzika, Yanga isikufanye ukose usingizi.
Nakukumbusha Juzi 19/12/2023 Pyramids amefungwa kwao wakati alipata sare kule south.
Upe mpira heshimayake.
Kushinda mechi zake tu haitoshiNamna pekee (the only scenario) ya Yanga kutinga robo fainali ni ya kushinda mechi zake zote mbili zilizobaki dhidi ya CRB nyumbani na dhidi ya Al Ahly wakiwa ugenini! Kama ubavu huo hawana wasahau ndoto za kuingia hatua ya robo fainali!!
Kama Al Ahly alishindwa kumfunga CRB akiwa nyumbani ni vigumu kudhani kuwa atamfunga akiwa ugenini, akijitahidi sana ni sare!!
Sare hiyo itamfanya yanga awe wa tatu kwenye msimamo (based on head to head). Halafu kumbukeni kuwa CRB ina mchezo mmoja rahisi dhidi ya Medeama ikiwa nyumbani!!
Medeama ikiwa nyumbani ilipomfunga CRB ni kama Ihefu ikiwa nyumbani ilivyomfunga Yanga, hilo haiepushi vipigo mfululizo kama Ihefu ambavyo haikuepushwa vipigo mfululizo!! Medeama ni kama mashujaa wa kigoma tu!! Ilianza kwa kishindo na kupotea!!
NAKAZIA: Yanga jipangeni kushinda mechi zenu!!
Kwa hio Simba atamfunga ASEC Memosas kwao?Kushinda mechi zake tu haitoshi
Lazima waombe CRB afungwe na Al Ahly
Simba ndio wanatakiwa kushinda mechi zao bila kuangalia matokeo ya wengine
Anahitaji sareKwa hio Simba atamfunga ASEC Memosas kwao?
Hatari sanaKila mtu anataka kuishauri Yanga
Mkuu hata mimi nimeshangaa sana.Yaan hata waliofungwa tano nao wanashauri
Wao ASEC hawataki kushinda?Anahitaji sare
Wanaiona Yanga tu it's like Al Ahly ni viti maalumuKitu ambacho watu wengi hawajui ni kuwa hata al ahaly nae ana tumbo joto kuna uwezekano nae asitoboe, ili kujiwekea Mazingira mazuri inabidi amfunge kwanza CRB
Una hoja .....Ndugu mbumbumbu pumzika, Yanga isikufanye ukose usingizi.
Nakukumbusha Juzi 19/12/2023 Pyramids amefungwa kwao wakati alipata sare kule south.
Upe mpira heshimayake.
Namna pekee (the only scenario) ya Yanga kutinga robo fainali ni ya kushinda mechi zake zote mbili zilizobaki dhidi ya CRB nyumbani na dhidi ya Al Ahly wakiwa ugenini! Kama ubavu huo hawana wasahau ndoto za kuingia hatua ya robo fainali!!
Kama Al Ahly alishindwa kumfunga CRB akiwa nyumbani ni vigumu kudhani kuwa atamfunga akiwa ugenini, akijitahidi sana ni sare!!
Sare hiyo itamfanya yanga awe wa tatu kwenye msimamo (based on head to head). Halafu kumbukeni kuwa CRB ina mchezo mmoja rahisi dhidi ya Medeama ikiwa nyumbani!!
Medeama ikiwa nyumbani ilipomfunga CRB ni kama Ihefu ikiwa nyumbani ilivyomfunga Yanga, hilo haiepushi vipigo mfululizo kama Ihefu ambavyo haikuepushwa vipigo mfululizo!! Medeama ni kama mashujaa wa kigoma tu!! Ilianza kwa kishindo na kupotea!!
NAKAZIA: Yanga jipangeni kushinda mechi zenu!!
Yule mzee alisema hawa jamaa ni mbumbumbuuMkuu hata mimi nimeshangaa sana.
Mtu umepigwa kono la nyani, unapata wapi ujasiri wa kumshauri alie kupiga kono hilo?
WalishafuzuWao ASEC hawataki kushinda?
Kwa lile ball nililoliiona Jana Al ahly atampasua Belouizdad za kutosha Tu..Mayele alipoona wametoa sare na Pyramid yeye akiwa Cairo aliwakebehi Mamelodi kuwa wamehusika asipate Visa haraka ili asicheze hiyo mechi Mamelodi hawakumjibu kitu ila baada ya gemu ya Cairo Mayele alicheza na wakafungwa goli moja ndio wakamjibu kuwa Mamelodi ni taasisi kubwa hawawezi kufanya hizo mambo za Visa kwa mtu yeyote kwa hiyo mkuu mpira kwa hawa Wakubwa hauna nyumbani wala ugenini unakufa popote ukipotea tuu...
Mpira wa kule wanakaba nafasi huku wanakaba mtu na nafasi ndio maana Al Ahly na hata Man City utawaona wanacheza vizuri mno ila njoo uwaweke na Timu za Afrika nao wanatafuta sare kwa kupoteza muda...Kwa lile ball nililoliiona Jana Al ahly atampasua Belouizdad za kutosha Tu..