technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Acha uongo leta msimamo wa ratiba wabongo watu wajinga sanaSio vibonde hali ya kuwa kwenye ligi yao ni wa mwisho?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongo leta msimamo wa ratiba wabongo watu wajinga sanaSio vibonde hali ya kuwa kwenye ligi yao ni wa mwisho?
Hatimae mmekubali 💛✌️Yanga Final ni lazima, hakuna wa kumzuia.
Ajipange tyuuh na kombe anachukua.
Tunasema ukweli ambao unaonekana wazi kabisa.Hatimae mmekubali [emoji169][emoji3577]
Ila mwanzo mlikua mnaamua tu kujizima dataTunasema ukweli ambao unaonekana wazi kabisa.
Umetazama mchezo wao na pyramid au unaongea tu kwa kuangalia statistics tuSio vibonde hali ya kuwa kwenye ligi yao ni wa mwisho?
Kwa hiyo nyinyi utopolo mngekuwa nafasi ya mwisho kwenye ligi tungesema ni bora kisa umeingia nusu fainal?Umetazama mchezo wao na pyramid au unaongea tu kwa kuangalia statistics tu
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mechi Azam isogezwe mbele .......Wananchi kukipiga na Marumo ya South tarehe 10 mwezi ujao hatua ya nusu fainal CAFCC.
Mechi nne kali za Yanga mwezi huu;
- Singida vs Yanga tar. 4 May (NBC)
- Singida vs Yanga tar 7 May( Azam fa)
- Yanga vs Marumo tar. 10 May (CAFCC)
- Marumo vs Yanga tar. 17 May (CAFCC)
Hadi walipoweka mwiko wanajikunaTUMEAMBIWA YANGA INA KIKOSI KIPANA MBONA MMEANZA KUJIKUNA?
Ili iweje.Mechi Azam isogezwe mbele .......
Ratiba imekuwa siyo rafiki tena? Misimu kadhaa Simba ikiomba ratiba irekebishwe maana ana assignment ya kimataifa si mlikuwa mnaweka? Ratiba ibaki hivyo hivyo.Ratiba sio rafiki kabisa lakini wanatakiwa kupamba kudhihirisha maana ya kikosi kipana