Yanga kuanzia nyumbani dhidi ya Marumo ya Afrika Kusini

Tunaenda kushinda ugenini tena

Cha msingi tujihakikishie mtaji wa kutosha hapa mechi ya kwanza
 
Mechi Azam isogezwe mbele .......
 
Ratiba sio rafiki kabisa lakini wanatakiwa kupamba kudhihirisha maana ya kikosi kipana
Ratiba imekuwa siyo rafiki tena? Misimu kadhaa Simba ikiomba ratiba irekebishwe maana ana assignment ya kimataifa si mlikuwa mnaweka? Ratiba ibaki hivyo hivyo.
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…