Yanga kucheza mechi 4 ndani ya Siku 9

Yanga kucheza mechi 4 ndani ya Siku 9

Tusifikie huko mkuu!
Acheni kulalamika hovyo angalia hapa nasisi ratiba ipo vile vile kama nyinyi lakini hukuti sisi tukilalamika.

Jumamosi tukicheza na nyie mechi ya 2 leg tunapumzika siku mbili tu yani juma 2 na juma 3, juma 4 tunaingia uwanjani kucheza na Biskra.

Tukitoka hapo tunakaa siku 2 tena kisha Ijumaa tunaingia mzigoni na Mc Oran ambao ni mshipa sana.

Lakini pamoja na ratiba yetu hii kuwa sawa na yenu bado hutukuti sisi tukilalamika hovyo kutafuta huruma kama nyie.
Screenshot_20230530-002631.png
 
Kukabidhiwa ubingwa na kufungwa vinahusiana Nini sasa? Ye Cha msingi aweke kikosi Cha Yanga b tu!!

Playoff za timu nyingine zinahusiana Nini na Yanga?
Msaidie utopolooo mwenzioo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maana anatapika mashudu tyuuh
 
Kuna mechi ya kukabidhiwa Kombe hapo dhidi ya Prison.....Ubingwa na kufungwa...

Hilo Moja ..bado nawadha hali za hizo timu ktk msimamo zikoje, wako Salama na Play Off!?

Vipi kuhusu fedha za Azam kwa hizo timu za mbeya wakimaliza nafasi za juu!?

Timu inatoka Algeria hali za fiziki za wachezaji na kusafiri...Dar then mbeya mechi2 na Sherehe za Ubingwa juu..( uchovu) then wasafiri to Tanga...

Hizo hali za hewa sijui....Finali ya Azam lzm watakuwa ktk bad shape...

Nabi analalamika anashindwa kuiandaa timu vizuri badala yake anafanya body recovery ya wachezaji....au hamuelewi Prof. Nabi anacholalamikia...!?
Acheni kulalamika lalamika hii kitu aliwaonya hadi Manara siku ya kwanza tu anaingia

Wngalia hapa ratiba yetu niambie inatofauti gani na yenu?

Na mbona sisi hatulalamiki?

Screenshot_20230530-002631.png
 
Acheni kulalamika hovyo angalia hapa nasisi ratiba ipo vile vile kama nyinyi lakini hukuti sisi tukilalamika.

Jumamosi tukicheza na nyie mechi ya 2 leg tunapumzika siku mbili tu yani juma 2 na juma 3, juma 4 tunaingia uwanjani kucheza na Biskra.

Tukitoka hapo tunakaa siku 2 tena kisha Ijumaa tunaingia mzigoni na Mc Oran ambao ni mshipa sana.

Lakini pamoja na ratiba yetu hii kuwa sawa na yenu bado hutukuti sisi tukilalamika hovyo kutafuta huruma kama nyie.
View attachment 2639860
Hapo sasa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Umetumia kiungo gani kufikiri na kuandika hivi!? usiniambie makalio, maana kichwani utakuwa na makamasi badala ya Ubongo...[emoji16][emoji16]

Huna Akili.
Yanga kwa kucheza mechi hizo kuna kanuni au sheria yoyote wamevunjiwa?
 
Nimejaribu kufatilia Ratiba ya Yanga ni ngumu Mno na Sijui kwa nini Bodi ya ligi Imemua kupanga hii Ratiba. Hii na Ratiba ya Mechi za Yanga

inacheza:

👉Tarehe 3 Juni CAF fainali
👉Tarehe 6 Juni ligi
👉Tarehe 9 Juni ligi
👉Tar 12 Azam Federation Cup.
Ndani ya siku 9, mechi nne, hii ni kuikomoa Yanga au? TFF wajitadhimini sana. Mimi kama mdau wa michezo napinga hii hakubaliriki

View attachment 2639429
Hata kocha juzi baada ya matokeo ya jpili alilaumi watu wanaopanga ratiba kwamba hiyo sio sawa.
 
Kuna mechi ya kukabidhiwa Kombe hapo dhidi ya Prison.....Ubingwa na kufungwa...

Hilo Moja ..bado nawadha hali za hizo timu ktk msimamo zikoje, wako Salama na Play Off!?

Vipi kuhusu fedha za Azam kwa hizo timu za mbeya wakimaliza nafasi za juu!?

Timu inatoka Algeria hali za fiziki za wachezaji na kusafiri...Dar then mbeya mechi2 na Sherehe za Ubingwa juu..( uchovu) then wasafiri to Tanga...

Hizo hali za hewa sijui....Finali ya Azam lzm watakuwa ktk bad shape...

Nabi analalamika anashindwa kuiandaa timu vizuri badala yake anafanya body recovery ya wachezaji....au hamuelewi Prof. Nabi anacholalamikia...!?
Mwache aendelee kulalamika lakini aelewe kuwa hajavunjiwa sheria yoyote
 
Acheni kulalamika hovyo angalia hapa nasisi ratiba ipo vile vile kama nyinyi lakini hukuti sisi tukilalamika.

Jumamosi tukicheza na nyie mechi ya 2 leg tunapumzika siku mbili tu yani juma 2 na juma 3, juma 4 tunaingia uwanjani kucheza na Biskra.

Tukitoka hapo tunakaa siku 2 tena kisha Ijumaa tunaingia mzigoni na Mc Oran ambao ni mshipa sana.

Lakini pamoja na ratiba yetu hii kuwa sawa na yenu bado hutukuti sisi tukilalamika hovyo kutafuta huruma kama nyie.
View attachment 2639860
Nimeshtuka sana asee. Nikashangaa Makolo wako na ratiba gani tena jamani?

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Yaani nyie bado mnaota fainali ya CAFcc wakati fainali ilishapigwa kwa Mkapa na mkapasuka 2 ,1.?

Huko Algeria nashauri msipeleke timu ili kuliepusha taifa kuingia kwenye aibu ya karne. Mjifanye kama Biashara Mara msingizie nauli. Vinginevyo msilaumu
 
Back
Top Bottom