CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,781
- 6,139
kwanza niwapongeze yanga kwa kuingia hatua ya Makundi ...mmepata pesa lazima tuwapongeze katika hilo!
lakini hii jeuri ya kuitukana ligi yetu VPL kwakuwa tu mmepata hela je ni ujinga au ni ule msemo Wa maskini akipata matako hulia mbwata?
Leo hii mmesahau kuwa ligi ndio iliyosababisha mkapata hizo m 600?
"tumechukua m600 , wakati ligi wanatoa m80, kwahiyo sisi ni zaidi kuliko Simba!"
yanga bhana!
sasa niwaambie tu kwa matusi haya ..mwakani ndege mtaiona kwenye movie za kivita tu shenzi type....
vinginevyo tar 29..tutaongeza dozi badala ya 5 zitakuwa 7.
lakini hii jeuri ya kuitukana ligi yetu VPL kwakuwa tu mmepata hela je ni ujinga au ni ule msemo Wa maskini akipata matako hulia mbwata?
Leo hii mmesahau kuwa ligi ndio iliyosababisha mkapata hizo m 600?
"tumechukua m600 , wakati ligi wanatoa m80, kwahiyo sisi ni zaidi kuliko Simba!"
yanga bhana!
sasa niwaambie tu kwa matusi haya ..mwakani ndege mtaiona kwenye movie za kivita tu shenzi type....
vinginevyo tar 29..tutaongeza dozi badala ya 5 zitakuwa 7.