Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Al hilal keshafuzu atotumia nguvu nyingi kwenye mechi ya yanga, na yanga ndio wataiitaji iyo mechi kwa nguvu zote ivyo watashinda iyo mechi na Mc alger kwa mkapa atokuwa na chake ni kipigo tuMC Alger akishinda game moja tu halafu Yanga atoke sare na Al Hilal (japo 99% Al Hilal atashinda) basi Yanga itajiunga na wachovu wenzao TP Mazembe kuyaaga Mashindano
Yes nadhani option namba 1 ndio nzuri zaidi.Yanga ina option mbili ya kufuzu robo fainali
1) option ya kwanza ni kushinda mechi zote mbili zilizobakia
2) option ya pili ni kutoa sare dhidi ya Al Hilal kisha kushinda goli 3:0 dhidi ya Mc Alger
Yote yanawezekana ...Yanga ina option mbili ya kufuzu robo fainali
1) option ya kwanza ni kushinda mechi zote mbili zilizobakia
2) option ya pili ni kutoa sare dhidi ya Al Hilal kisha kushinda goli 3:0 dhidi ya Mc Alger
Hayo ni mawazo yako sio mawazo ya ibenge na al hilal.Al hilal keshafuzu atotumia nguvu nyingi kwenye mechi ya yanga, na yanga ndio wataiitaji iyo mechi kwa nguvu zote ivyo watashinda iyo mechi na Mc alger kwa mkapa atokuwa na chake ni kipigo tu
Basi tulia ivyo ivyo utaona kitachotokea nadhani yanga hii habari zake unazo vizuriHayo ni mawazo yako sio mawazo ya ibenge na al hilal.
Halafu wewe sio msemaji wa al hilal kwahiyo usiwasemee.
Kama siku hizi umekuwa mganga unaweza kutabiri mambo yajayo hongera sana.
Sisi tutachapa wote na point 6 tutachukua,,Wala usiende mbali kwenye magoli uko tutaenda kama tutakosa point tunazoitajiHakuna wa kuizuia yanga kufudhu. Kwa hilal tunahitaji sare tu,mwarabu atakalia 5 sufuri
Hii ni Kama MC alger atashinda mechi yake dhidi ya MazembeYanga ina option mbili ya kufuzu robo fainali
1) option ya kwanza ni kushinda mechi zote mbili zilizobakia
2) option ya pili ni kutoa sare dhidi ya Al Hilal kisha kushinda goli 3:0 dhidi ya Mc Alger
Sina habari za yanga mimi, kimataifa bado mtoto mdogo wewe jifunze kwa baba zako SIMBA.Basi tulia ivyo ivyo utaona kitachotokea nadhani yanga hii habari zake unazo vizuri
Mlivyo na Midomo lazima Al hilal awakamie awakande vyuma vingi sanaAl hilal keshafuzu atotumia nguvu nyingi kwenye mechi ya yanga, na yanga ndio wataiitaji iyo mechi kwa nguvu zote ivyo watashinda iyo mechi na Mc alger kwa mkapa atokuwa na chake ni kipigo tu
Sare hauwezi kuipata kule wewe utopolo jiandae kwa kupokea kipigo kizitoHakuna wa kuizuia yanga kufudhu. Kwa hilal tunahitaji sare tu,mwarabu atakalia 5 sufuri
Uko sahihi kabisa mzee mwenzangu kama msimu uliopita tu tulikua na option kama hizi..Yanga ina option mbili ya kufuzu robo fainali
1) option ya kwanza ni kushinda mechi zote mbili zilizobakia
2) option ya pili ni kutoa sare dhidi ya Al Hilal kisha kushinda goli 3:0 dhidi ya Mc Alger
Anayepita ni MC Alger na Al Hilal.Yanga ina option mbili ya kufuzu robo fainali
1) option ya kwanza ni kushinda mechi zote mbili zilizobakia
2) option ya pili ni kutoa sare dhidi ya Al Hilal kisha kushinda goli 3:0 dhidi ya Mc Alger
GSM aweke dau la milioni 200 kwa kila mchezaji iwapo watashinda.MC Alger akishinda game moja tu halafu Yanga atoke sare na Al Hilal (japo 99% Al Hilal atashinda) basi Yanga itajiunga na wachovu wenzao TP Mazembe kuyaaga Mashindano