Simaanishi kuwa atapasuka bali nasema hili ni soccer chochote kinaweza kutokeaBasi subilieni apasuke Tena tuone,,mnakariri maisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simaanishi kuwa atapasuka bali nasema hili ni soccer chochote kinaweza kutokeaBasi subilieni apasuke Tena tuone,,mnakariri maisha
Ya 3.. MC Alger asishinde game zake 😅😅😅Yanga ina option mbili ya kufuzu robo fainali
1) option ya kwanza ni kushinda mechi zote mbili zilizobakia
2) option ya pili ni kutoa sare dhidi ya Al Hilal kisha kushinda goli 3:0 dhidi ya Mc Alger
Anayepita ni MC Alger na Al Hilal.
Yanga nafasi ya kupita ni ndogo sana.
Ni WALID huyo
Ya 3.. MC Alger asishinde game zake [emoji28][emoji28][emoji28]
Kama ulitazama game ya MC vs Al Hilal yanga kushinda goli 3 bila sio rahisi. Al hilal kufungwa labda wauze mechi tu maana wao kihesabu wameshapita tayari