- Thread starter
- #21
Pia kila mchezaji wa TP Mazembe ampe million 200 ili wakomae kwenye game yao na MC AlgerGSM aweke dau la milioni 200 kwa kila mchezaji iwapo watashinda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pia kila mchezaji wa TP Mazembe ampe million 200 ili wakomae kwenye game yao na MC AlgerGSM aweke dau la milioni 200 kwa kila mchezaji iwapo watashinda.
Moyes katumbi juzi aliweka mzigo mezani na TP hawakuweza.Pia kila mchezaji wa TP Mazembe ampe million 200 ili wakomae kwenye game yao na MC Alger
Kivipi elezea vizuriAnayepita ni MC Alger na Al Hilal.
Yanga nafasi ya kupita ni ndogo sana.
Unaongea kwa kuzingatia mahesabu au mahaba au utabiri? Maana kimahesabu timu zote tatu kati ya Yanga, Mc Alger na Tp Mazembe zina nafasi ya kufuzu robo fainali. Sasa sijui wewe unayesema anayepita timu fulani na fulani ana nafasi ndogo unatumia kigezo kipiAnayepita ni MC Alger na Al Hilal.
Yanga nafasi ya kupita ni ndogo sana.
Shida ya kuwa shabiki wa Simba au Yanga. Kwenye IMPOSSIBLE mnataka kuambiwa ni POSSIBLE.Unaongea kwa kuzingatia mahesabu au mahaba au utabiri? Maana kimahesabu timu zote tatu kati ya Yanga, Mc Alger na Tp Mazembe zina nafasi ya kufuzu robo fainali. Sasa sijui wewe unayesema anayepita timu fulani na fulani ana nafasi ndogo unatumia kigezo kipi
1. Al Hilal vs Yanga . 80% Al Hilal anashindaKivipi elezea vizuri
Toa sababu kwanini unasema ni impossibleShida ya kuwa shabiki wa Simba au Yanga. Kwenye IMPOSSIBLE mnataka kuambiwa ni POSSIBLE.
Hata kwa akili ya D 1 anajua hapo mwenye nafasi kubwa ni Al Hilal na MC Alger na wenye nafasi finyu ni Yanga na Mazembe. Mnaishi kwa kutegemea Miujiza
Umetumia kipimo kipi kupata hizo asilimia 80 za Al Hilal kushinda1. Al Hilal vs Yanga . 80% Al Hilal anashinda
2. Mc Alger Vs TP Mazembe : Alger ushindi ni 85%.
3. Al Hilal Vs Mazembe: Al Hilal ushindi ni 70%
4. Yanga Vs MC Alger: 50% kwa 50%
NB:
Miujiza ipo ingawa ni 5% tu
Ya tatu ni kutumia uchawiYanga ina option mbili ya kufuzu robo fainali
1) option ya kwanza ni kushinda mechi zote mbili zilizobakia
2) option ya pili ni kutoa sare dhidi ya Al Hilal kisha kushinda goli 3:0 dhidi ya Mc Alger
Mathematicians wanaelewa. Sasa kama wewe hukusoma hesabu huwezi kuelewa. Tunaambiwa mtu yeyote anayejua hesabu huwa na uelewa wa haraka. Ila nyie mnaojua Civics na History ndio mliochimba chini ghorofa la Kariakoo likaangukaToa sababu kwanini unasema ni impossible
Sawa lodi lofaMathematicians wanaelewa. Sasa kama wewe hukusoma hesabu huwezi kuelewa. Tunaambiwa mtu yeyote anayejua hesabu huwa na uelewa wa haraka. Ila nyie mnaojua Civics na History ndio mliochimba chini ghorofa la Kariakoo likaanguka
Yanga hapohapo alipasuka mbili moja kutoka kwa mwarabu wa algeriaAl hilal keshafuzu atotumia nguvu nyingi kwenye mechi ya yanga, na yanga ndio wataiitaji iyo mechi kwa nguvu zote ivyo watashinda iyo mechi na Mc alger kwa mkapa atokuwa na chake ni kipigo tu
Kumbe wewe ni wa enzi za gazeti la Sani ndio maana upo local sanaSawa lodi lofa
Hili kundi bado timu zote tatu zilizobaki zina nafasi. Tusiwadharau hata hao Mazembe sababu wana uwezo wa kufikisha pointi nane. Hao MC Alger sio wazuri Mazembe anaweza akapita nao.MC Alger akishinda game moja tu halafu Yanga atoke sare na Al Hilal (japo 99% Al Hilal atashinda) basi Yanga itajiunga na wachovu wenzao TP Mazembe kuyaaga Mashindano
Basi subilieni apasuke Tena tuone,,mnakariri maishaYanga hapohapo alipasuka mbili moja kutoka kwa mwarabu wa algeria
Wewe Mpira unaujua kuliko Huyo anayeleta hoja bila facts.Yanga ina option mbili ya kufuzu robo fainali
1) option ya kwanza ni kushinda mechi zote mbili zilizobakia
2) option ya pili ni kutoa sare dhidi ya Al Hilal kisha kushinda goli 3:0 dhidi ya Mc Alger
Kisa tu kwavile analeta matumaini ya Yanga kupitaWewe Mpira unaujua kuliko Huyo anayeleta hoja bila facts.