Yanga kumkosa Aucho mechi ijayo wanaweza kulizwa tena

Yanga kumkosa Aucho mechi ijayo wanaweza kulizwa tena

Kwanza poleni sana mashabiki wa nyuma mwiko kwa kipigo ilikuwa ni suala la muda TU, mmebebwa vya kutosha Leo ilikuwa hakuna namna mmegongwa!!

Kadi ya Khalid Aucho ( ya njano ) aliyopata Leo ni wazi mechi ijayo hatocheza.....bila kupepesa huyu ni mchezaji muhimu sana kwenye timu yenu pengine kuliko mchezaji yoyote ni pengo( kama unabisha, muulize gamondi, usiporidhika na majibu panda ndege mfuate nabi sauzi atakupa majibu )

Msingi wa hoja yangu ni kuwa huenda mechi ijayo yanga akapelekewa moto vilevile na ikawa mechi ngumu zaidi.....kwann??

1..pressure kubwa kwa wachezaji baada ya kupoteza mechi Vs Azam ( hawajazoea )

2..kumkosa wachezaji muhimu ( Aucho na baka )

3...kuwaza mechi ya club bingwa Vs Al hilal Omdurman ya Sudan

4...fitness na fatigue ya wachezaji...mfano: mwamnyeto mechi ijayo huwezi muamini coz mda wowote anatoa Boko

5...mwisho na muhimu: nilishawahi kusema hapa jf kuwa gamondi ilikuwa suala la muda TU watu kuelewa mbinu zake mkanitukana Sanaa....Sasa mnadhani hizi Moja Moja ni bahati mbaya??? Shauri yenu

Alafu jinsi mlivyo hamna akili eti mnajipa moyo sijui " hatutaki kushinda nyingi, kimoja TU kwa yoyote".....bila kujua timu yenu inashuka kwa Kasi kubwa

Bila kusita najua kituo kinachofuata ni kocha kumla kichwa....na Mimi kama metronidazole 400mg natamani sana hili litokee shenzi!!!

Haya mkakojoe mlale
Me naendelea kukumbushia Dube kwanini hafungi?🤣🤣
 
Uwanja wa Mkapa una mageti matano, katika hayo matano hamjawahi kutumia geti lolote kupita kwenye mechi ya Derby

Unaweza kututobolea hiyo siri huwa mnapitia wapi mpaka tunawaona uwanjani?
Sasa kuna uhusiano gani wa kukataa kupita getini na ushirikina?

Kwanini hilo tukio lihusishwe na ushirikina?

Na kama ni ushirikina unaweza kutuwekea ushahidi usio na shaka kwamba ni ushirikina?

Ushahidi wa Simba kufanya vitendo vya kishirikina uko wazi kabisa nimekuwekea.

Mpaka faini mmepigwa kuanzia michuano ya ndani mpaka ya kimataifa.
 
Sasa kuna uhusiano gani wa kukataa kupita getini na ushirikina?

Kwanini hilo tukio lihusishwe na ushirikina?

Na kama ni ushirikina unaweza kutuwekea ushahidi usio na shaka kwamba ni ushirikina?

Ushahidi wa Simba kufanya vitendo vya kishirikina uko wazi kabisa nimekuwekea.

Mpaka faini mmepigwa kuanzia michuano ya ndani mpaka ya kimataifa.
Unaelezeaje hicho kitendo bila kuhusisha ushirikina?

Basi la timu lina siti 70 lakini limefika uwanjani likiwa na dereva peke yake. Hiyo unaielezeaje bila kutaja imani za kishirikina?

Timu yenu imejaa wazee ndio maana mambo hayo yamekuwa yakitokea kama desturi.
 
Uwanja wa Mkapa una mageti matano, katika hayo matano hamjawahi kutumia geti lolote kupita kwenye mechi ya Derby

Unaweza kututobolea hiyo siri huwa mnapitia wapi mpaka tunawaona uwanjani?
IMG_20241102_233419.jpg
 
Unaelezeaje hicho kitendo bila kuhusisha ushirikina?
Ni wewe tu ndo unalazimisha kihusishwe na ushirikina ambao bado ujaweka ushahidi wa wazi zaidi ya hisia zako hasi tu.

Inawezekana kupita nje ya geti rasmi ikawa ni mind game tu wanayoicheza yanga dhidi ya wapinzani wao hasa wanaoamini na kuabudu ushirikina kama nyinyi na kwa hilo wanafanikiwa.
 
Blog za udaku unaziamini sana

Kanyweni supu na kesho.

Shenzi
Teeh teeh naona dawa Imeingia barabara.

Kule South Africa licha ya makolo kuchoma uwanja na mavumba yenu dhidi ya Orlando pirates bado mkafungishwa virago!
 
Kwanza poleni sana mashabiki wa nyuma mwiko kwa kipigo ilikuwa ni suala la muda TU, mmebebwa vya kutosha Leo ilikuwa hakuna namna mmegongwa!!

Kadi ya Khalid Aucho ( ya njano ) aliyopata Leo ni wazi mechi ijayo hatocheza.....bila kupepesa huyu ni mchezaji muhimu sana kwenye timu yenu pengine kuliko mchezaji yoyote ni pengo( kama unabisha, muulize gamondi, usiporidhika na majibu panda ndege mfuate nabi sauzi atakupa majibu )

Msingi wa hoja yangu ni kuwa huenda mechi ijayo yanga akapelekewa moto vilevile na ikawa mechi ngumu zaidi.....kwann??

1..pressure kubwa kwa wachezaji baada ya kupoteza mechi Vs Azam ( hawajazoea )

2..kumkosa wachezaji muhimu ( Aucho na baka )

3...kuwaza mechi ya club bingwa Vs Al hilal Omdurman ya Sudan

4...fitness na fatigue ya wachezaji...mfano: mwamnyeto mechi ijayo huwezi muamini coz mda wowote anatoa Boko

5...mwisho na muhimu: nilishawahi kusema hapa jf kuwa gamondi ilikuwa suala la muda TU watu kuelewa mbinu zake mkanitukana Sanaa....Sasa mnadhani hizi Moja Moja ni bahati mbaya??? Shauri yenu

Alafu jinsi mlivyo hamna akili eti mnajipa moyo sijui " hatutaki kushinda nyingi, kimoja TU kwa yoyote".....bila kujua timu yenu inashuka kwa Kasi kubwa

Bila kusita najua kituo kinachofuata ni kocha kumla kichwa....na Mimi kama metronidazole 400mg natamani sana hili litokee shenzi!!!

Haya mkakojoe mlale
Mechi ijayo Yanga watafungwa na Tabora. Goli atajifunga Kijili
 
Teeh teeh naona dawa Imeingia barabara.

Kule South Africa licha ya makolo kuchoma uwanja na mavumba yenu dhidi ya Orlando pirates bado mkafungishwa virago!
Kimoja cha mbuzi..kesho mapema mnasikia nyinyi wapumbav, mje chamazi mnywe supu na chapati
 
Kwanza poleni sana mashabiki wa nyuma mwiko kwa kipigo ilikuwa ni suala la muda TU, mmebebwa vya kutosha Leo ilikuwa hakuna namna mmegongwa!!

Kadi ya Khalid Aucho ( ya njano ) aliyopata Leo ni wazi mechi ijayo hatocheza.....bila kupepesa huyu ni mchezaji muhimu sana kwenye timu yenu pengine kuliko mchezaji yoyote ni pengo( kama unabisha, muulize gamondi, usiporidhika na majibu panda ndege mfuate nabi sauzi atakupa majibu )

Msingi wa hoja yangu ni kuwa huenda mechi ijayo yanga akapelekewa moto vilevile na ikawa mechi ngumu zaidi.....kwann??

1..pressure kubwa kwa wachezaji baada ya kupoteza mechi Vs Azam ( hawajazoea )

2..kumkosa wachezaji muhimu ( Aucho na baka )

3...kuwaza mechi ya club bingwa Vs Al hilal Omdurman ya Sudan

4...fitness na fatigue ya wachezaji...mfano: mwamnyeto mechi ijayo huwezi muamini coz mda wowote anatoa Boko

5...mwisho na muhimu: nilishawahi kusema hapa jf kuwa gamondi ilikuwa suala la muda TU watu kuelewa mbinu zake mkanitukana Sanaa....Sasa mnadhani hizi Moja Moja ni bahati mbaya??? Shauri yenu

Alafu jinsi mlivyo hamna akili eti mnajipa moyo sijui " hatutaki kushinda nyingi, kimoja TU kwa yoyote".....bila kujua timu yenu inashuka kwa Kasi kubwa

Bila kusita najua kituo kinachofuata ni kocha kumla kichwa....na Mimi kama metronidazole 400mg natamani sana hili litokee shenzi!!!

Haya mkakojoe mlale
Hawana uwezo wa kushinda, saiz game zao zinachezwa na waamuzi,

Matumizi ya nguvu yanazid matumiz ya akili
 
Back
Top Bottom