Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Mechi za usiku wazee lazima wasinzie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mechi za usiku wazee lazima wasinzie
Kujitetea kwenye nini?Umea
Umeamua kwenda nje ya mada ili kujitetea sio?
Uwanja wa Mkapa una mageti matano, katika hayo matano hamjawahi kutumia geti lolote kupita kwenye mechi ya Derby
Me naendelea kukumbushia Dube kwanini hafungi?🤣🤣Kwanza poleni sana mashabiki wa nyuma mwiko kwa kipigo ilikuwa ni suala la muda TU, mmebebwa vya kutosha Leo ilikuwa hakuna namna mmegongwa!!
Kadi ya Khalid Aucho ( ya njano ) aliyopata Leo ni wazi mechi ijayo hatocheza.....bila kupepesa huyu ni mchezaji muhimu sana kwenye timu yenu pengine kuliko mchezaji yoyote ni pengo( kama unabisha, muulize gamondi, usiporidhika na majibu panda ndege mfuate nabi sauzi atakupa majibu )
Msingi wa hoja yangu ni kuwa huenda mechi ijayo yanga akapelekewa moto vilevile na ikawa mechi ngumu zaidi.....kwann??
1..pressure kubwa kwa wachezaji baada ya kupoteza mechi Vs Azam ( hawajazoea )
2..kumkosa wachezaji muhimu ( Aucho na baka )
3...kuwaza mechi ya club bingwa Vs Al hilal Omdurman ya Sudan
4...fitness na fatigue ya wachezaji...mfano: mwamnyeto mechi ijayo huwezi muamini coz mda wowote anatoa Boko
5...mwisho na muhimu: nilishawahi kusema hapa jf kuwa gamondi ilikuwa suala la muda TU watu kuelewa mbinu zake mkanitukana Sanaa....Sasa mnadhani hizi Moja Moja ni bahati mbaya??? Shauri yenu
Alafu jinsi mlivyo hamna akili eti mnajipa moyo sijui " hatutaki kushinda nyingi, kimoja TU kwa yoyote".....bila kujua timu yenu inashuka kwa Kasi kubwa
Bila kusita najua kituo kinachofuata ni kocha kumla kichwa....na Mimi kama metronidazole 400mg natamani sana hili litokee shenzi!!!
Haya mkakojoe mlale
Sasa kuna uhusiano gani wa kukataa kupita getini na ushirikina?Uwanja wa Mkapa una mageti matano, katika hayo matano hamjawahi kutumia geti lolote kupita kwenye mechi ya Derby
Unaweza kututobolea hiyo siri huwa mnapitia wapi mpaka tunawaona uwanjani?
Unaelezeaje hicho kitendo bila kuhusisha ushirikina?Sasa kuna uhusiano gani wa kukataa kupita getini na ushirikina?
Kwanini hilo tukio lihusishwe na ushirikina?
Na kama ni ushirikina unaweza kutuwekea ushahidi usio na shaka kwamba ni ushirikina?
Ushahidi wa Simba kufanya vitendo vya kishirikina uko wazi kabisa nimekuwekea.
Mpaka faini mmepigwa kuanzia michuano ya ndani mpaka ya kimataifa.
Uwanja wa Mkapa una mageti matano, katika hayo matano hamjawahi kutumia geti lolote kupita kwenye mechi ya Derby
Unaweza kututobolea hiyo siri huwa mnapitia wapi mpaka tunawaona uwanjani?
Blog za udaku unaziamini sana
Ni wewe tu ndo unalazimisha kihusishwe na ushirikina ambao bado ujaweka ushahidi wa wazi zaidi ya hisia zako hasi tu.Unaelezeaje hicho kitendo bila kuhusisha ushirikina?
Teeh teeh naona dawa Imeingia barabara.Blog za udaku unaziamini sana
Kanyweni supu na kesho.
Shenzi
Mechi ijayo Yanga watafungwa na Tabora. Goli atajifunga KijiliKwanza poleni sana mashabiki wa nyuma mwiko kwa kipigo ilikuwa ni suala la muda TU, mmebebwa vya kutosha Leo ilikuwa hakuna namna mmegongwa!!
Kadi ya Khalid Aucho ( ya njano ) aliyopata Leo ni wazi mechi ijayo hatocheza.....bila kupepesa huyu ni mchezaji muhimu sana kwenye timu yenu pengine kuliko mchezaji yoyote ni pengo( kama unabisha, muulize gamondi, usiporidhika na majibu panda ndege mfuate nabi sauzi atakupa majibu )
Msingi wa hoja yangu ni kuwa huenda mechi ijayo yanga akapelekewa moto vilevile na ikawa mechi ngumu zaidi.....kwann??
1..pressure kubwa kwa wachezaji baada ya kupoteza mechi Vs Azam ( hawajazoea )
2..kumkosa wachezaji muhimu ( Aucho na baka )
3...kuwaza mechi ya club bingwa Vs Al hilal Omdurman ya Sudan
4...fitness na fatigue ya wachezaji...mfano: mwamnyeto mechi ijayo huwezi muamini coz mda wowote anatoa Boko
5...mwisho na muhimu: nilishawahi kusema hapa jf kuwa gamondi ilikuwa suala la muda TU watu kuelewa mbinu zake mkanitukana Sanaa....Sasa mnadhani hizi Moja Moja ni bahati mbaya??? Shauri yenu
Alafu jinsi mlivyo hamna akili eti mnajipa moyo sijui " hatutaki kushinda nyingi, kimoja TU kwa yoyote".....bila kujua timu yenu inashuka kwa Kasi kubwa
Bila kusita najua kituo kinachofuata ni kocha kumla kichwa....na Mimi kama metronidazole 400mg natamani sana hili litokee shenzi!!!
Haya mkakojoe mlale
Kimoja cha mbuzi..kesho mapema mnasikia nyinyi wapumbav, mje chamazi mnywe supu na chapatiTeeh teeh naona dawa Imeingia barabara.
Kule South Africa licha ya makolo kuchoma uwanja na mavumba yenu dhidi ya Orlando pirates bado mkafungishwa virago!
Kimoja hata wewe tumekutia.Kimoja cha mbuzi..kesho mapema mnasikia nyinyi wapumbav, mje chamazi mnywe supu na chapati
Si kama wewe tu ulileft group kitamboo.Halafu ni kwanini Mashabiki wao wengi wanaonekana ni wale Wanaume walio Left Group? Kuna tatizo gani huko Kwao?
Kimoja cha mbuzi..kesho mapema mnasikia nyinyi wapumbav, mje chamazi mnywe supu na chapatiKimoja hata wewe tumekutia.
Tena sio mara moja.
Unabisha?
Hawana uwezo wa kushinda, saiz game zao zinachezwa na waamuzi,Kwanza poleni sana mashabiki wa nyuma mwiko kwa kipigo ilikuwa ni suala la muda TU, mmebebwa vya kutosha Leo ilikuwa hakuna namna mmegongwa!!
Kadi ya Khalid Aucho ( ya njano ) aliyopata Leo ni wazi mechi ijayo hatocheza.....bila kupepesa huyu ni mchezaji muhimu sana kwenye timu yenu pengine kuliko mchezaji yoyote ni pengo( kama unabisha, muulize gamondi, usiporidhika na majibu panda ndege mfuate nabi sauzi atakupa majibu )
Msingi wa hoja yangu ni kuwa huenda mechi ijayo yanga akapelekewa moto vilevile na ikawa mechi ngumu zaidi.....kwann??
1..pressure kubwa kwa wachezaji baada ya kupoteza mechi Vs Azam ( hawajazoea )
2..kumkosa wachezaji muhimu ( Aucho na baka )
3...kuwaza mechi ya club bingwa Vs Al hilal Omdurman ya Sudan
4...fitness na fatigue ya wachezaji...mfano: mwamnyeto mechi ijayo huwezi muamini coz mda wowote anatoa Boko
5...mwisho na muhimu: nilishawahi kusema hapa jf kuwa gamondi ilikuwa suala la muda TU watu kuelewa mbinu zake mkanitukana Sanaa....Sasa mnadhani hizi Moja Moja ni bahati mbaya??? Shauri yenu
Alafu jinsi mlivyo hamna akili eti mnajipa moyo sijui " hatutaki kushinda nyingi, kimoja TU kwa yoyote".....bila kujua timu yenu inashuka kwa Kasi kubwa
Bila kusita najua kituo kinachofuata ni kocha kumla kichwa....na Mimi kama metronidazole 400mg natamani sana hili litokee shenzi!!!
Haya mkakojoe mlale
Dube hakuna kitu pale.Me naendelea kukumbushia Dube kwanini hafungi?🤣🤣
Mwiko wake uliopo nyuma ni mkubwa sana engineer alisema ivoMe naendelea kukumbushia Dube kwanini hafungi?🤣🤣