Yanga kumkosa Aucho mechi ijayo wanaweza kulizwa tena

Yanga kumkosa Aucho mechi ijayo wanaweza kulizwa tena

Naskiliza interviews za mashabiki nje ya uwanja baada ya game.

Kuna shabiki la Gongowazi linaitwa mwalimu Yanga.
View attachment 3141813
Linalaumu eti Arajiga amepewa maelekezo kutoka juu kuidhulumu Yanga

Yani kiuhalisia hakuna mchezaji wa kusumbua kichwa pale Utopolo kusema eti mpaka wanafika round ya 8 hawajapoteza mechi wala kuruhusu bao.

Ukipiga mahesabu hii ilikuwa ni mechi yake ya 2 alipaswa kupoteza huku akiwa na sare 2. Mechi na Ken Gold lile lilikuwa ni bao ule mpira ulivuka mstari.

Mechi ya juzi hapo Baleke katia kamba goli la offside refa kaita kati, hii pia ilikuwa ni sare ila Refa akawanusuru.

Kingine ni ule ushamba wa wachezaji kumzonga muamuzi kwa kudhani kuwa atahofia kutake action kwa kuwapa adhabu kwa kile wanachokidhani kuwa wao ni wakubwa wana protections.

Wana amini timu yao inapendwa na viongozi wa juu hivyo hata refa kabla ya kufanya maamuzi lazima afikirie kibarua chake au kuwakwaza hao wakubwa ambao wanaweza kumfanya lolote.
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
JamiiForums-31645776.jpeg
 
Yanga ilitakiwa iwe na sare mbili sema refa kawabeba kwenye mechi ya Coastal Union na mechi ya Kengold.
 
Timu za nafasi ya 3 na nne zina furahisha sana
 
Yani kiuhalisia hakuna mchezaji wa kusumbua kichwa pale Utopolo kusema eti mpaka wanafika round ya 8 hawajapoteza mechi wala kuruhusu bao.

Ukipiga mahesabu hii ilikuwa ni mechi yake ya 2 alipaswa kupoteza huku akiwa na sare 2. Mechi na Ken Gold lile lilikuwa ni bao ule mpira ulivuka mstari.

Mechi ya juzi hapo Baleke katia kamba goli la offside refa kaita kati, hii pia ilikuwa ni sare ila Refa akawanusuru.

Kingine ni ule ushamba wa wachezaji kumzonga muamuzi kwa kudhani kuwa atahofia kutake action kwa kuwapa adhabu kwa kile wanachokidhani kuwa wao ni wakubwa wana protections.

Wana amini timu yao inapendwa na viongozi wa juu hivyo hata refa kabla ya kufanya maamuzi lazima afikirie kibarua chake au kuwakwaza hao wakubwa ambao wanaweza kumfanya lolote.
Wabongo mnapenda Sana kujiliwaza ila mi nimefurahi yaani mpaka hapa wote tuna huzuni na furaha kikubwa tu ukipoteza kubali kuwa umezidiwa mbinu kajipange tukutane tena ila inaonekana wenzetu mnapopoteza mnatoka kabisa kwenye reli,mara viongozi,mara bahasha,mara ushirikina mara sanda mara GSM kadhamini timu zote nk hii inakuwa haina afya kwenye mpira wetu,hapa tukubali wote tumeonja kufungwa tuanze upya sasa ila ukipoteza ukirudi kwenye hoja zako maana unavyoeleza hapa ni kama Simba haijawah kabisa kunufaika na marefa
 
Kama Aucho alikosa mechi mbili dhidi ya Mamelod na Bado Mamelod walipitia wakati mgumu hivi Kuna timu apa Bongo ya kui challenge Yanga kwenye sehemu ya kiungo kama Aucho atakosekana!!

Hakuna wa kuisumbua Yanga katika sehemu ya kiungo katika Ligi yetu ata kama Aucho asipocheza.

Ilo ndio eneo ambalo Yanga ametengeneza Daraja kubwa Sana dhidi ya wapinzani wengi Afrika si apa bongo.
 
Yani kiuhalisia hakuna mchezaji wa kusumbua kichwa pale Utopolo kusema eti mpaka wanafika round ya 8 hawajapoteza mechi wala kuruhusu bao.

Ukipiga mahesabu hii ilikuwa ni mechi yake ya 2 alipaswa kupoteza huku akiwa na sare 2. Mechi na Ken Gold lile lilikuwa ni bao ule mpira ulivuka mstari.

Mechi ya juzi hapo Baleke katia kamba goli la offside refa kaita kati, hii pia ilikuwa ni sare ila Refa akawanusuru.

Kingine ni ule ushamba wa wachezaji kumzonga muamuzi kwa kudhani kuwa atahofia kutake action kwa kuwapa adhabu kwa kile wanachokidhani kuwa wao ni wakubwa wana protections.

Wana amini timu yao inapendwa na viongozi wa juu hivyo hata refa kabla ya kufanya maamuzi lazima afikirie kibarua chake au kuwakwaza hao wakubwa ambao wanaweza kumfanya lolote.
Wabongo mnapenda Sana kujiliwaza ila mi nimefurahi yaani mpaka hapa wote tuna huzuni na furaha kikubwa tu ukipoteza kubali kuwa umezidiwa mbinu kajipange tukutane tena ila inaonekana wenzetu mnapopoteza mnatoka kabisa kwenye reli,mara viongozi,mara bahasha,mara ushirikina mara sanda mara GSM kadhamini timu zote nk hii inakuwa haina afya kwenye mpira wetu,hapa tukubali wote tumeonja kufungwa tuanze upya sasa ila ukipoteza ukirudi kwenye hoja zako maana unavyoeleza hapa ni kama Simba haijawah kabisa kunufaika na marefa
 
Kwanza poleni sana mashabiki wa nyuma mwiko kwa kipigo ilikuwa ni suala la muda TU, mmebebwa vya kutosha Leo ilikuwa hakuna namna mmegongwa!!

Kadi ya Khalid Aucho ( ya njano ) aliyopata Leo ni wazi mechi ijayo hatocheza.....bila kupepesa huyu ni mchezaji muhimu sana kwenye timu yenu pengine kuliko mchezaji yoyote ni pengo( kama unabisha, muulize gamondi, usiporidhika na majibu panda ndege mfuate nabi sauzi atakupa majibu )

Msingi wa hoja yangu ni kuwa huenda mechi ijayo yanga akapelekewa moto vilevile na ikawa mechi ngumu zaidi.....kwann??

1..pressure kubwa kwa wachezaji baada ya kupoteza mechi Vs Azam ( hawajazoea )

2..kumkosa wachezaji muhimu ( Aucho na baka )

3...kuwaza mechi ya club bingwa Vs Al hilal Omdurman ya Sudan

4...fitness na fatigue ya wachezaji...mfano: mwamnyeto mechi ijayo huwezi muamini coz mda wowote anatoa Boko

5...mwisho na muhimu: nilishawahi kusema hapa jf kuwa gamondi ilikuwa suala la muda TU watu kuelewa mbinu zake mkanitukana Sanaa....Sasa mnadhani hizi Moja Moja ni bahati mbaya??? Shauri yenu

Alafu jinsi mlivyo hamna akili eti mnajipa moyo sijui " hatutaki kushinda nyingi, kimoja TU kwa yoyote".....bila kujua timu yenu inashuka kwa Kasi kubwa

Bila kusita najua kituo kinachofuata ni kocha kumla kichwa....na Mimi kama metronidazole 400mg natamani sana hili litokee shenzi!!!

Haya mkakojoe mlale
Unatumia hisia zako kujenga hoja na sio uhalisia, unachokiwaza wewe wenzako walishakifanyia kazi kwenye maandalizi ya msimu mpya, maandalizi ayo ni pamoja na usajili Bora kwa wachezaji wasiozidiana ubora Kila eneo, Leo hii yanga aiwezi kumkosa aucho alafu eti kocha akaumiza kichwa juu ya nani anaenda kucheza eneo ilo, yanga walishatoka uko kitambo ndio maana nakwambia unatumia hisia na ushabiki wako wa kuwa kolo kuwasilisha hoja mfu!
Khalid aucho alikosa mechi na mamelod lakini uliona pengo lake?
Itakuwaje kwa timu za hapa Tanzania Kuna timu yoyote Ina uwezo wa kupishana na yanga ata akicheza mkude au sure boy au abuya?
Upande wa baka bado yupo mwamnyeto na jobu Wana uwezo mzuri tu kucheza mechi yoyote iwe klabu bingwa ama mechi za ligi ivyo iyo hoja yako Haina mashiko imejifia kifo cha kawaida!
Suala la fitness na fatique umeshindwa kuliona kwenye mechi dhidi ya Azam utakuja kuliona kwenye mechi dhidi ya tabora united? Kabla ya kucheza na Azam yanga kasafiri kwenda kucheza Arusha na coast union karudi kaenda kucheza na singida Zanzibar kapumzika siku mbili kacheza na Azam kwaiyo mechi ngumu zaidi ya Azam ndio ulitakiwa uione fatique ya yanga lakini Mpira umeona Azam ndio alikuwa kama vile Yuko pungufu badala ya yanga!
Sasa timu inapumzika angalau siku 4 kabla ya kuvaana na Tabora united ndio unategemea fatique iwasumbue?
Hoja yako ya presha kubwa kwa wachezaji kwakuwa wamefungiwa na Azam usiifananishe yanga na timu ndogo bro, yanga inao wachezaji wakubwa ambao washacheza kwenye mazingira yoyote yale na wakapata matokeo aijalishi wanacheza na nani ivyo icho unachokitegemea kitokee umeshaferi mapema tafuta kingine!
Na cha mwisho yanga aijashuka kama unavyojiaminisha, kufungwa na Azam isiwe kichaka chako cha kufufukia hapo, timu iliyoshuka imepoteza mechi ngapi?
 
Yani kiuhalisia hakuna mchezaji wa kusumbua kichwa pale Utopolo kusema eti mpaka wanafika round ya 8 hawajapoteza mechi wala kuruhusu bao.

Ukipiga mahesabu hii ilikuwa ni mechi yake ya 2 alipaswa kupoteza huku akiwa na sare 2. Mechi na Ken Gold lile lilikuwa ni bao ule mpira ulivuka mstari.

Mechi ya juzi hapo Baleke katia kamba goli la offside refa kaita kati, hii pia ilikuwa ni sare ila Refa akawanusuru.

Kingine ni ule ushamba wa wachezaji kumzonga muamuzi kwa kudhani kuwa atahofia kutake action kwa kuwapa adhabu kwa kile wanachokidhani kuwa wao ni wakubwa wana protections.

Wana amini timu yao inapendwa na viongozi wa juu hivyo hata refa kabla ya kufanya maamuzi lazima afikirie kibarua chake au kuwakwaza hao wakubwa ambao wanaweza kumfanya lolote.
Wewe ungekuwa na point ngapi kama hao hao waamuzi wasingekubeba? Ebu tuambie maana hoja yako imejikita kwa waamuzi zaidi, yanga sio level zenu mnajikaanga wenyewe badala ya kutengeneza timu, akuna timu hapa Tanzania inamfikia yanga ubora mnapojificha kwenye matokeo ya Azam na yanga ili kupata pa kusemea mnaferi na mtaendelea kuferi!
 
Ni wewe tu ndo unalazimisha kihusishwe na ushirikina ambao bado ujaweka ushahidi wa wazi zaidi ya hisia zako hasi tu.

Inawezekana kupita nje ya geti rasmi ikawa ni mind game tu wanayoicheza yanga dhidi ya wapinzani wao hasa wanaoamini na kuabudu ushirikina kama nyinyi na kwa hilo wanafanikiwa.
Mind game?

You guys are funny huh?

Basi lenye siti 70 linakuja tupu wachezaji wanakuja kwa ngoko kwa kuruka ukuta we unaita mind game?

Nitajie timu yeyote uliyowahi kuiona ikiruka ukuta kwa fact ya kusema ni mind game?

Au ni traditional mind game?
 
Teeh teeh naona dawa Imeingia barabara.

Kule South Africa licha ya makolo kuchoma uwanja na mavumba yenu dhidi ya Orlando pirates bado mkafungishwa virago!
Sasa kama uwanja ulichomwa, hiyo mechi ilichezwaje?
 
Unatumia hisia zako kujenga hoja na sio uhalisia, unachokiwaza wewe wenzako walishakifanyia kazi kwenye maandalizi ya msimu mpya, maandalizi ayo ni pamoja na usajili Bora...
Katika maelezo yooote hayo....haibadilishi ukweli Aucho ni mchezaji muhimu yanga, acha acheze na tabora kwanza nitakuja kukukumbusha hapa
 
Sasa kama uwanja ulichomwa, hiyo mechi ilichezwaje?
Unaniuliza mimi mlichezaje

Huo moshi hapo kati ya wachezaji ujauona? au nikuwekee video kabisa.

Unafikiri moshi utatoka tu bila kuchoma Kitu!
IMG_20241102_072500.jpg

A
 
Wabongo mnapenda Sana kujiliwaza ila mi nimefurahi yaani mpaka hapa wote tuna huzuni na furaha kikubwa tu ukipoteza kubali kuwa umezidiwa mbinu kajipange tukutane tena ila...
Sasa mechi ya Derby inakosaje lawama?

Mbona sisi kukubali kufungwa ni kawaida yetu.

Tulitolewa na Wydad kwenye matuta hakuna shabiki aliye laumu wote tulipongeza upambanaji wa wanajeshi wetu.

Badala yake nyie mkawa mnatubeza kwa kutuita "kufa kwa kiume FC" yani hamkupenda kuona tumefungwa bila kuwepo malalamiko.
 
Sasa kama uwanja ulichomwa, hiyo mechi ilichezwaje?
Ushirikina muendekeze nyinyi halafu muwasingizie Yanga.

Pambaneni na hali zenu makolo.

Komaeni kusaka mafanikio kisayansi ikiwamo Kusuka kikosi bora sio kuendekeza ushirikina.

Mlikua mnashiriki Champions league sasa hivi hupo shirikisho bado hamjishtukii tu kazi kuendekeza ushirikina na ujinga ujinga mwingine as if matunguri ndo yanayocheza.
 
Ushirikina muendekeze nyinyi halafu muwasingizie Yanga.

Pambaneni na hali zenu makolo.

Komaeni kusaka mafanikio kisayansi ikiwamo Kusuka kikosi bora sio kuendekeza ushirikina.


Mlikua mnashiriki Champions league sasa hivi hupo shirikisho bado hamjishtukii tu kazi kuendekeza ushirikina na ujinga ujinga mwingine
as if matunguri ndo yanayocheza.
Tuwasingizie Yanga kwani hukusikia tamko la msemaji wenu akiwapa kibali mfanye ushirikina?
 
Kwa hiyo kwa ubongo wako ukiona moshi tafsiri yake watu wamechoma uwanja?
Sasa kama hamkuchoma uwanja wewe kolo ndo utuambie mlichoma nini.

Kipi hicho mlichokichoma mpaka CAF wakawalima faini?
 
Kwanza poleni sana mashabiki wa nyuma mwiko kwa kipigo ilikuwa ni suala la muda TU, mmebebwa vya kutosha Leo ilikuwa hakuna namna mmegongwa...
Aucho mbona hajacheza mechi mbili msimu huu na zote Yanga alishinda. Hoja yako wala haina msingi, hizo mechi nyingine alicheza Salum Abubakari na wala hakukuwa na shida.
 
Back
Top Bottom