Yanga Kumsajili Mchezaji nyota wa timu kubwa, Bango lake kuwekwa kwenye Jengo linalotazamana na Timu hiyo

Wapi imetajwa simba?
 
Wapi imetajwa simba?
Una ubishani wa kitoto sana, kwahiyo injinia ameiongelea lipuli ya iringa. Kama hujui chagizo za hizi club mbili kwenye kutengeneza content za kwenda viral kaa mbali na mpira wa bongo
 
Upuuzi tuu...bila,Simba hiyo utopolo haina content...
Mkuu Simba hii hii ambayo Kibu anawanyanyasa? Kiukweli imeniuma sana kuona hadi Kibu anawavimbia Simba......mmefika pabaya sana
 
Hivi ni mimi tu ninayeona au ni kama Yanga wanalazimisha sana undugu na Simba wakati hawana hata time nao.

Kila siku wanapiga kelele Simba ina wachezaji wabovu ila hao hao wabovu wanawatamani hadi kupanga kuwawekea mabango wakiwasajili.
Kwani wakilazimisha undugu kuna raia yeyote ni atakufa? Kama hamna basi acha waendelee tu
 
Una ubishani wa kitoto sana, kwahiyo injinia ameiongelea lipuli ya iringa. Kama hujui chagizo za hizi club mbili kwenye kutengeneza content za kwenda viral kaa mbali na mpira wa bongo
Sawa basi tutamsajili huyo mchezaji wa Simba ili acheze bolingo kama makudubela
 
Waongo hao, nungunungu wamemtoa wapi?
 
Hivi ni mimi tu ninayeona au ni kama Yanga wanalazimisha sana undugu na Simba wakati hawana hata time nao.

Kila siku wanapiga kelele Simba ina wachezaji wabovu ila hao hao wabovu wanawatamani hadi kupanga kuwawekea mabango wakiwasajili.
Ni ww tu
 
Hivi ni mimi tu ninayeona au ni kama Yanga wanalazimisha sana undugu na Simba wakati hawana hata time nao.

Kila siku wanapiga kelele Simba ina wachezaji wabovu ila hao hao wabovu wanawatamani hadi kupanga kuwawekea mabango wakiwasajili.
Hapo Yanga kinachofanya ni kuwavuruga Simba,hata wale wachache wazuri kuwanunua ili tu Simba iwe mbovu zaidi,hilo ndo lengo lao.
 
duh na mimi nilimsikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…