Yanga kupokea wachezaji 3 toka La Liga

Yanga kupokea wachezaji 3 toka La Liga

Boss la DP World

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2021
Posts
2,318
Reaction score
8,464
Taarifa toka chanzo cha kuaminika zinasema kuwa Club ya Yanga inatarajia kupokea makinda 3 toka vilabu vya Villarreal na Atlético Madrid kama sehemu ya makubaliano yao na La Liga katika kubadilishana wachezaji wa timu B.

Makinda hao ni golikipa mmoja na washambuliaji 2, inasemekana Clement F. Mzize atapata fursa ya kwenda kupata uzoefu katika moja ya club hizo na wachezaji wote watadumu kwa msimu mmoja kabla ya kurejea kwenye vikosi vyao vya awali.

Wachezaji wote wanaruhusiwa kutumika kwenye ligi kuu endapo watapata nafasi.
 
Taarifa toka chanzo cha kuaminika zinasema kuwa Club ya Yanga inatarajia kupokea makinda 3 toka vilabu vya Villarreal na Atlético Madrid kama sehemu ya makubaliano yao na La Liga katika kubadilishana wachezaji wa timu B.

Makinda hao ni golikipa mmoja na washambuliaji 2, inasemekana Clement F. Mzize atapata fursa ya kwenda kupata uzoefu katika moja ya club hizo na wachezaji wote watadumu kwa msimu mmoja kabla ya kurejea kwenye vikosi vyao vya awali.

Wachezaji wote wanaruhusiwa kutumika kwenye ligi kuu endapo watapata nafasi.
UHARO mwingine bwana [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom