Yanga Kusimamisha Nchi Kesho Saa 5:00 asubuhi

Yanga Kusimamisha Nchi Kesho Saa 5:00 asubuhi

km n manzoki aisee simba tutakua tumepigwa n k2 kizito yan maumiv ya derby hayajaisha tunapigwa n huko
𝑯𝒂𝒉𝒂𝒉..𝒌𝒘𝒆𝒍𝒊 𝒊𝒗 𝒃𝒂𝒅𝒐 𝒅𝒊𝒓𝒊𝒔𝒉𝒂 𝒍𝒊𝒑𝒐 𝒘𝒂𝒛𝒊
 
𝑯𝒂𝒉𝒂𝒉..𝒌𝒘𝒆𝒍𝒊 𝒊𝒗 𝒃𝒂𝒅𝒐 𝒅𝒊𝒓𝒊𝒔𝒉𝒂 𝒍𝒊𝒑𝒐 𝒘𝒂𝒛𝒊
yes hata caf pia majina yanaweza kwenda hadi tarehe 31 na faini kwa yatayochelewa
 
Diamond naye kesho saa 5 ana jambo lake Johari Rotana, yawezekana ni makubaliano ya kikazi kati ya Diamond na Yanga
 
Kuna Mtu anaitwa Njaakalisana alikuja na habari yake asubuhi, ikiwa hiyo atatamba mpaka wengine tuonekane mapopoma.
 
Wote tushajua Manzoki amesha mwaga wino jangwani hilo mbona lipo wazi kama ya mbuzi
 
Back
Top Bottom