Yanga Kusimamisha Nchi Kesho Saa 5:00 asubuhi

Eti nchi itasimama, mpira umeingiliwa na wapenda siasa...
 
Oooh Wananchi nao washaanza mambo yao nia yao kutukeraaaa tu
......lete mzunguuuuu......
 
Yanga tuko na Visionary leaders, Stay tuned Mwananchi,,,, Kama kawaida yetu kesho nchi yote macho kwa Yanga
 
Simba inaenda kuwa club ya hovyo sana,haya maviongozi yanafanya kazi gani kama usajiri tu Manzoki yameshindwa.

Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app
 
Kesho wanatambulisha afusa habari
Na malalamiko ya maamuzi ya referee kayoko
 
Simba inaenda kuwa club ya hovyo sana,haya maviongozi yanafanya kazi gani kama usajiri tu Manzoki yameshindwa.

Sent from my Infinix X665B using JamiiForums mobile app

Unamuona wa maana sana, watu watoe 300m kwa mtu ambae mkataba wake uko na miezi 2 tu. Kmaa atakuja Yanga ni sababu ya urafiki wao ule wa Siku ya mwananchi na watakua wanafanya kuwakomoa Simba.
 
Anatangazwa mwana Yanga kindakindaki Paul Mnkai kuwa afisa habari. Huyu ameigeuza Wasafi FM kama kitengo cha Utopolo

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Kuna uwezekano mkubwa mkutano wa Yanga leo na waandishi habari ukatumika kumtangaza Ally Kamwe kwenda kuwa afisa habari wa Yanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…