kocha Nabi
JF-Expert Member
- Feb 1, 2022
- 709
- 1,881
Naona hii ya kucheza match saa 10:00 jioni ni kama uoga hivi wa wasimamizi wa uwanja kuhusu swala la kuzimika taa. Maana huu muda sijawahi kuupenda katika maisha yangu.
Wangeweka hata saa 12:00 jioni.
Wangeweka hata saa 12:00 jioni.