kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #121
Nakiri hukusema hayo, lakini msikilize Ally Kamwe na wenzake wakiwa wamelewa supu ya pweza na maduriani.Wapi nimesema chimbuko la Yanga ni Zanzibar? Nilichosema kuwa Yanga pia ina wanachama Zanzibar. Njoo ukatae hapa kama Yanga haina wanachama huko Zanzibar. La pili njoo unioneshe ni wapi nilipoandika kuwa Yanga ina chimbuko Zanzibar, usitake kunilisha maneno nisiyoyasema MNAFIKI mkubwa wewe.
Pale Zanzibar mpira wa miguu ni pahala kwake tangu kale, Kila mchezaji analo jina la mchezaji wa ulaya. Sio Yanga TU bali Kuna mashabiki na wanachama wa timu za ulaya pale pia. Hata Simba inao wanachama na mashabiki wengi pia, Liverpool na Manchester united hivyohivyo.
Kama tunaweza kutumia michezo kuimarisha umoja na udugu wetu ni jambo zuri sana.