kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #101
mimi sio mbaguzi hata chembe moja. Dunia nzima sasa hivi inaungana kupata masoko ya pamoja, ulizi na fursa, mimi ni nani nisilione hilo?. Lakini hii hainizuii kusema ukweli ili ukweli utumike kuleta ummoja.Kumbe hoja yako ipo katika kiubaguzi wa utanganyika na uzanzibar.
Wanasiasa ndio wanaotuchelewesha, sisi tuko Tayari kwa tanzania yetu
View: https://www.youtube.com/watch?v=QxKT7H_29Yo