kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
- Thread starter
- #61
Kabla ya kuhamisha mechi wape sababu wenye timu yao, na sababu lazima iwe ya kiufundi na kiuchumi, nothing more nothing more. Sio kwasababu za kisiasa Wala kupigia kampeni chama au mtu. Maana ni hatari sana Simba na Yanga kuziingiza kwenye siasa zetu za vyama.mambo mengine tunayakuza. nyie ndio mkizeeka mnakua visirani. mambo madogo hayo. siku wakicheza kwetu arumeru mtasema pia ama kisa kwa wanywa urojo?