hauna hoja, ila wapo watakaokuunga mkono.
Maelezo yako yameegemea ubara na Uzanzibari kisha ukristo na uislamu.
Unaweza ona mtoa mada ni mteja mzuri wa vibanda umiza kuliko kuangalia mpira akiwa katika uwanja wa Benjamin Mkapa.
Ngoja nikufundishe, tena kaa kwa kutulia, kuna kipindi uefa walipendekeza baadhi ya mechi za uefa zichezwe nje ya ulaya kwenda kwenye nchi kama vile Marekani na Morocco, tp mazembe walicheza mechi za mashindano yaliyoratibiwa na FIFA hapa Tanzania, na mifano mingine mingi tu ipo.
Mwisho nikuweke sawa kuhusu kuwa na imani thabiti dhidi ya viongozi wa imani husika, kuwa pope/mufti hakumfanyi mtu kuwa bora zaidi kiimani kuliko wengine, imani ya mtu ni siri kati yake na mola wake, unaweza kuwa pope/muft na ukafanya machafu makubwa zaidi kuliko waumini wako.
Kama unaipenda Yanga ifuate unguja.
We mbona una nyumba na bado unalipia chumba hotelini au lodge!