Yanga: Mashabiki komeni kuukurubia zaidi uongozi na wachezaji wenu.

Yanga: Mashabiki komeni kuukurubia zaidi uongozi na wachezaji wenu.

Unakumbaka nini kuhusu mechi dhidi ya Ihefu? Mashabiki mnaongoza kwa kugeuka geuka, Gamond alikuwa muumini sana wa kufanya rotation lakini hao hao wachezaji wakamuangusha akapata somo mawili. La kwanza kuhusu viwango vya wachezaji havifanani katika ubora na la pili mashabiki wakaanza kuonesha udhaifu wa kufungwa kumetokana na kocha kufanya rotation (kadharau mechi) hapo ndipo kocha alipojifunza kuwa kila mechi kwake ni fainali hivyo anapaswa kuweka kikosi chake cha uhakika.
Hiyo haiwezi kuwa sababu hata kidogo, hata timu kubwa kama Arsenal zinafungagwa na vitimu vidogo hadi kukuosa ubingwa, lakini hiyo haiwezi kuwa sababu ya kuacha kufanya rotation. Mechi ndiyo pekee inayomkuza na kumuimarisha mchezaji. Asioge kuwapa nafasi wachezaji ili kuongeza confidence zao. Unataka kusema sure boy kashuka kiwango ghafla wakati wa gamondi?
 
Hiyo haiwezi kuwa sababu hata kidogo, hata timu kubwa kama Arsenal zinafungagwa na vitimu vidogo hadi kukuosa ubingwa, lakini hiyo haiwezi kuwa sababu ya kuacha kufanya rotation. Mechi ndiyo pekee inayomkuza na kumuimarisha mchezaji. Asioge kuwapa nafasi wachezaji ili kuongeza confidence zao. Unataka kusema sure boy kashuka kiwango ghafla wakati wa gamondi?
Mashabiki huwa hamnaga shukrani hilo linajulikana, kocha anapopewa kazi jambo kubwa kwake ni kushinda michezo yake na kuchukua makombe na sio kukuza vipaji vya mchezaji pasipo kubeba mataji. Na mashabiki ndio watu wa kwanza kupiga kelele kocha kampanga mchezaji asiyekuwa na kiwango.

Ngushi alipopewa nafasi na Gamond watu wakafika mbali kwa kumlaumu Nabi kuwa alikuwa hampangi Ngushi wakati kumbe ana kitu, mkamsifia Gamond, alipopangwa mechi inayofuatia ikawa ni vituko uwanjani.
 
Mashabiki huwa hamnaga shukrani hilo linajulikana, kocha anapopewa kazi jambo kubwa kwake ni kushinda michezo yake na kuchukua makombe na sio kukuza vipaji vya mchezaji pasipo kubeba mataji. Na mashabiki ndio watu wa kwanza kupiga kelele kocha kampanga mchezaji asiyekuwa na kiwango.

Ngushi alipopewa nafasi na Gamond watu wakafika mbali kwa kumlaumu Nabi kuwa alikuwa hampangi Ngushi wakati kumbe ana kitu, mkamsifia Gamond, alipopangwa mechi inayofuatia ikawa ni vituko uwanjani.
hapewi nafasi tu, angekuwa hovyo huko atokako asingefika Yanga. Practice makes perfect.

Yanga ya sasa iko vizuri sana lakini wachezaji sio robots. hata kiatu ukikivaa kila siku kitaisha soli haraka. Viwanja vyeti, wachezaji wetu kwenye ligi, vyakula vyetu na matibabu yetu sio rafiki kwa wachezaji kucheza mechi kila baada ya masaa 72. Wachezaji wetu huwa wanaumia na kuumizwa sana, lakini kutokana na ushindani wa namba kuna wakati wanaficha kuwa wana maumivu. Kwenye mechi ya yanga vs Al-haly unaona kabisa Aziz Ki hakuwa vizuri kiafya lakini kocha aliogopa kumbadilisha kwakuwa aliogopa kumjaribu mchezaji mwingine siku ya big mechi kama ile.
 
hapewi nafasi tu, angekuwa hovyo huko atokako asingefika Yanga. Practice makes perfect.

Yanga ya sasa iko vizuri sana lakini wachezaji sio robots. hata kiatu ukikivaa kila siku kitaisha soli haraka. Viwanja vyeti, wachezaji wetu kwenye ligi, vyakula vyetu na matibabu yetu sio rafiki kwa wachezaji kucheza mechi kila baada ya masaa 72. Wachezaji wetu huwa wanaumia na kuumizwa sana, lakini kutokana na ushindani wa namba kuna wakati wanaficha kuwa wana maumivu. Kwenye mechi ya yanga vs Al-haly unaona kabisa Aziz Ki hakuwa vizuri kiafya lakini kocha aliogopa kumbadilisha kwakuwa aliogopa kumjaribu mchezaji mwingine siku ya big mechi kama ile.
Kwenye ile mechi ya Al Ahly, kwenye benchi ukiachana na Mudathir na Musonda nitajie wachezaji wengine wenye uwezo na ubora wa kubadilisha mchezo kwa siku ile. Wachezaji wengi tu wa Yanga walikuwa wamechoka na hakuwa Aziz Ki peke yake, hata huku nyuma mabeki walikuwa wanapiga pasi za ovyo na wengine kudondoka dondoka hovyo. Maxi pia alichoka kule mbele, lakini ni nani ataingia mwenye quality sawa na au kumzidi Maxi? Al Ahly wakitoa mtu anaingia chuma kingine.

Wachezaji ambao hawajacheza muda mrefu huwa kuna aina ya mechi na pia kuna dakika za kuingia. Kocha yeye ndiye anayejua ni mechi ipi atawapanga hao wengine fixtures bado ndefu sana. La mwisho kocha ndiye huwa na timu mazoezini hivyo ndiye anayejua utimamu wa wachezaji. Ulimuongelea Farid Mussa, hivi ulishawahi kumuona hata mazoezini kama wengine wanavyoonekana?
 
Kwenye ile mechi ya Al Ahly, kwenye benchi ukiachana na Mudathir na Musonda nitajie wachezaji wengine wenye uwezo na ubora wa kubadilisha mchezo kwa siku ile. Wachezaji wengi tu wa Yanga walikuwa wamechoka na hakuwa Aziz Ki peke yake, hata huku nyuma mabeki walikuwa wanapiga pasi za ovyo na wengine kudondoka dondoka hovyo. Maxi pia alichoka kule mbele, lakini ni nani ataingia mwenye quality sawa na au kumzidi Maxi? Al Ahly wakitoa mtu anaingia chuma kingine.

Wachezaji ambao hawajacheza muda mrefu huwa kuna aina ya mechi na pia kuna dakika za kuingia. Kocha yeye ndiye anayejua ni mechi ipi atawapanga hao wengine fixtures bado ndefu sana. La mwisho kocha ndiye huwa na timu mazoezini hivyo ndiye anayejua utimamu wa wachezaji. Ulimuongelea Farid Mussa, hivi ulishawahi kumuona hata mazoezini kama wengine wanavyoonekana?
Siamini kama wakipewa nafasi za kucheza kila wakati wachezaji kama fred, konkoni, sure boy, moloko hawawezi kucheza mechi kama zile kwa ufanisi. Sure boy aliivusha timu kwenye mechi ngumu za confederation wakati wa Nabi. Ila kwa mechi ya juzi wachezaji hawa asingewatumia kwakuwa hakuwaandaa kucheza hata mechi za ligi. Sisi mashabiki tunafurahi timu kushinda goli nyingi lakini tunasahau kuwa wachezaji ni walewale wanaoshinda mechi zote. Gamondi mpira wake unatumia nguvu nyingi sana kwa wachezaji kukimbia muda wote wa dk 90, haitawezekana wachezaji haohao wacheze mechi zote kubwa na ndogo za ligi, caf na FIFA kwa wakati mmoja. Yanga ina wachezaji 10 wanaocheza mechi zote hizi kwa wakati mmoja. Tabia hii ya kuwatumia wachezaji walewale ndiyo iliyosababisha simba kudorora haraka kwa misimu 3 sasa {kauka nikuvae|

View: https://www.youtube.com/watch?v=ygCQR5QX26o
 
Mashabiki huwa hamnaga shukrani hilo linajulikana, kocha anapopewa kazi jambo kubwa kwake ni kushinda michezo yake na kuchukua makombe na sio kukuza vipaji vya mchezaji pasipo kubeba mataji. Na mashabiki ndio watu wa kwanza kupiga kelele kocha kampanga mchezaji asiyekuwa na kiwango.

Ngushi alipopewa nafasi na Gamond watu wakafika mbali kwa kumlaumu Nabi kuwa alikuwa hampangi Ngushi wakati kumbe ana kitu, mkamsifia Gamond, alipopangwa mechi inayofuatia ikawa ni vituko uwanjani.
Kuna wakati natamani wachezaji waachwe na makocha wao tu kwenye mazoezi yao ya kila siku bila ya viongozi na watu wengine wasiohusika na ufundi kufika mazoezini kuangalia, kuhoji wachezaji na kupiga picha kila wakati. Ni usumbufu na kupunguza utulivu kwa timu na wakufunzi wao.
 
Acha kutupangia cha kufanya wewe Makolo. Mnatamani sana na sisi tuwe mbumbumbu kama nyinyi, jambo ambalo haliwezakani kamwe.

Mashabiki wengi wa Yanga, nikiwemo mimi! Bado tuna imani kubwa na timu yetu. Kwa juhudi wanazozionesha uwanjani, hatuna sababu ya kubweka bweka hovyo kama mbwa koko.


Wakati wa dirisha dogo, naamini benchi letu la ufundi litajazia mapengo yaliyopo.
Acha mihimili yote (Uongozi, wachezaji, benchi la ufundi na wanachama/mashabiki) ya timu isimame yenyewe kwa kujitegemea ili anaepaswa kufukuzwa mambo yakienda vibaya ajulikane. Hii mambo ya jumlajumla na pamojapamoja italeta tabu siku shida ikotokea. Shabiki malipo yake ni furaha tu basi na haondoki kwenye timu milele hadi mwisho wa maisha yake na mwisho wa timu. Kama ni supu basi inywewe hukohuko kwenye matawi yao na sio kuitwa waje makao makuu waliko viongozi na wachezaji wachekeanechekeane na kuzoeana.
 
Back
Top Bottom