Yanga mjitathmini na ubingwa wenu wa kihistoria

Kwa hiyo ulitaka wajivunie wakifikisha mara ngapi? Kwani nyie hamringi kisa mna idadi ndogo?
 
Maisha sio uniform kuwa tufanane, linalo kukera wewe mwingine analifrahia.
Fanya kutulia basi
 
Wakati Hadi Sasa mmesha bugi hapo Kwa kocha πŸ€”
Kocha ana shida gani? Mshamfanyia uhakiki naona nyie utopolo na kupata majibu kuwa hafai? Au mnawasikiliza mashabiki uchwara humu wa simba?
 
Ww ni nani!?
 
[emoji3516][emoji3516] Haya ndo maumivu nasemea [emoji28] kukosa Kombe Mtani. We Msimu mpya hata haujaanza ushajipigia hesabu za kulichukua. Lol

Tengeneza timu kwanza haya ya ubingwa tuachie mabingwa wa kihistoria. [emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani nakutafuta, naomba nikione kiatu cha mfungaji bora, alichopewa Mayele.

Unaloooooo mtani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mtani nakutafuta, naomba nikione kiatu cha mfungaji bora, alichopewa Mayele.

Unaloooooo mtani. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaaa. Nimekuja Mtani.

Kiatu hicho kwiiio. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ’ƒ
 
Makolo mnapoteana sana aisee.

Huyu kiumbe analidharau kombe la ligi kuu wakati, kuchukua ubingwa wa ligi kuu ndo tiketi ya kwenda huko kimataifa.

Yaani anaidharau primary wakati ili kufika chuo inabidi apitie huko kwanza.

Haya hebu tuambie makolo msimu ujao mmejipanga vipi kwenda kimataifa bila kucheza na kuwa nafasi 2 za juu ligi kuu!??
Maana unavoikandia ligi kuu utadhani si lolote si chochote.

Sasa mabingwa wa kihistoria hatuna dharau za kijinga na tumekuja kivingine, msimu huu limetuponyoka moja, ujao hatuachi kitu.

Na andaa uzi mrefu kama huu maana august hatukuachi, lazima utimue kocha tena.
 
Jitahidini muongeze historia ya kuingia kwa mara ya kwanza kwenye group stage toka 1998 hahahah
 
Jitahidini muongeze historia ya kuingia kwa mara ya kwanza kwenye group stage toka 1998 hahahah
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…