Bongo kila mtu ni FBI Nyerere day ni tarehe 14 mechi za kufuzu zinachezwa tarehe 16 hizo jezi wangezindua lini kama sio before Nyerere day?Za nyuma ya pazia ni kwamba hizo jersey walipanga kuzizindua endapo wangefanikiwa kufika hatua ya makundi ili wakazivae huko, ila kwakua matumaini hayapo tena wameamua kuzitoa ili biashara isife.
Kaa kwa kutuliaKila siku humu zinaletwa nyuzi zaidi ya 10 kuhusu Yanga, ama kweli ni timu ya Wananchi [emoji169][emoji172]
Naipenda Yanga mshabiki wa Damu
Wabongo kwa ujuaji bhana tuko vzr
Kwamba zilikuwa ni za kuvaliwa tarehe 14 kisha zitupwe? Hayo chata ya nyerere ni theme tu ambayo imeendana na tukio la mwezi huu ila plan ilikuwa ni zitumike kwenye makundi endapo wangepita.Bongo kila mtu ni FBI Nyerere day ni tarehe 14 mechi za kufuzu zinachezwa tarehe 16 hizo jezi wangezindua lini kama sio before Nyerere day?
Tangu 1998 ni mbali sana..!Kwakweli wanetu wana ukame sana na kushiriki makundi, si kwa maandalizi hayo yaani..!Kwamba zilikuwa ni za kuvaliwa tarehe 14 kisha zitupwe? Hayo chata ya nyerere ni theme tu ambayo imeendana na tukio la mwezi huu ila plan ilikuwa ni zitumike kwenye makundi endapo wangepita.
Subiri mtolewe huko sudan mbona maji utaita mmaKila siku humu zinaletwa nyuzi zaidi ya 10 kuhusu Yanga, ama kweli ni timu ya Wananchi [emoji169][emoji172]
Naipenda Yanga mshabiki wa Damu
Na wewe usivyo na akili unaamini hapo huwa linawekwa kombe la Dunia?Aliyekuambia wanazo akili kakuongopea hawa ni hamnazo
Yaani wewe umefanya la maana kumkana, kuliko kuunga mkono ujinga.Kwani huyo mleta Mada mmoja tuu ndo "mashabiki wa simba"?
Mimi siyo shabiki wa Yanga lakini nachukia mada za Kizuzu kama hii.mleta mada kwan walipoweka hiyo kitu hapo kifuani ww imekukwaza nn mbona ni kuonyesha heshima tu kwa moja ya mpigania uhuru wa afrika tusiwe hodari sana wa kukosoa kila jambo ukute hapo kisa hushabikii yanga unaona kila wanalofanya sio sahihi akili za kimaskini sana hizi
Sisi Simba wenzie tunamuunga Mkono..hatuwezi kumkataaYaani wewe umefanya la maana kumkana, kuliko kuunga mkono ujinga.
Mbona hizo alama hazifanani... ulitaka waiweke hiyo nembo kwenye kwapa auYanga wametoa uzi maalum katika kuadhimisha Nyerere Day.
Sasa wameweka beji ya mwalimu Nyerere katikati ya jezi yao (kifuani).
Yanga wameingia klabu za Ulaya ambao beji hiyo huwekwa mahala hapo ili kujulisha mashabiki kuwa hao ndio mabingwa wa dunia mfano wa vilabu.
Sasa huku kwetu Utopolo wanaiga beji na kuiweka picha ya mtu 😆😆
Mna wazo zuri ila hiyo beji kifuani imeharibu kila kitu.
Teko Modise,
Temeke, SUDAN.
View attachment 2383656View attachment 2383657
Narudi tena, nyie ni hamnazo, sawa sawa?Na wewe usivyo na akili unaamini hapo huwa linawekwa kombe la Dunia?
Endapo? kwani wameshacheza second leg?Kwamba zilikuwa ni za kuvaliwa tarehe 14 kisha zitupwe? Hayo chata ya nyerere ni theme tu ambayo imeendana na tukio la mwezi huu ila plan ilikuwa ni zitumike kwenye makundi endapo wangepita.
Yanga Timu la ovyo kutwa kutafuta kiki nje ya uwanjaYanga kwenye ubunifu wa jezi wako vizuri sana