misedemideheki
JF-Expert Member
- Aug 7, 2020
- 246
- 448
Ila jezi yao imetulia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha wivu Lunyaasi wewe🦁🏃🏃Yanga wametoa uzi maalum katika kuadhimisha Nyerere Day.
Sasa wameweka beji ya mwalimu Nyerere katikati ya jezi yao (kifuani).
Yanga wameingia klabu za Ulaya ambao beji hiyo huwekwa mahala hapo ili kujulisha mashabiki kuwa hao ndio mabingwa wa dunia mfano wa vilabu.
Sasa huku kwetu Utopolo wanaiga beji na kuiweka picha ya mtu 😆😆
Mna wazo zuri ila hiyo beji kifuani imeharibu kila kitu.
Teko Modise,
Temeke, SUDAN.
View attachment 2383656View attachment 2383657
Huyo ni Baba wa Taifa RIP, kukaa hapo ndo mahala pale tunamkubali, alikuwa mwanachama namba moja na Uzi tumeuelewa sana.Yanga wametoa uzi maalum katika kuadhimisha Nyerere Day.
Sasa wameweka beji ya mwalimu Nyerere katikati ya jezi yao (kifuani).
Yanga wameingia klabu za Ulaya ambao beji hiyo huwekwa mahala hapo ili kujulisha mashabiki kuwa hao ndio mabingwa wa dunia mfano wa vilabu.
Sasa huku kwetu Utopolo wanaiga beji na kuiweka picha ya mtu 😆😆
Mna wazo zuri ila hiyo beji kifuani imeharibu kila kitu.
Teko Modise,
Temeke, SUDAN.
View attachment 2383656View attachment 2383657
Ha haha haaaaaaa hahahaha hahaaaaaaaaaaaa.........mlozi wa mchana huyo.Uchawi sio kupaa tu usiku! Hata majungu ni uchawi