Yanga wametoa uzi maalum katika kuadhimisha Nyerere Day.
Sasa wameweka beji ya mwalimu Nyerere katikati ya jezi yao (kifuani).
Yanga wameingia klabu za Ulaya ambao beji hiyo huwekwa mahala hapo ili kujulisha mashabiki kuwa hao ndio mabingwa wa dunia mfano wa vilabu.
Sasa huku kwetu Utopolo wanaiga beji na kuiweka picha ya mtu ππ
Mna wazo zuri ila hiyo beji kifuani imeharibu kila kitu.
Teko Modise,
Temeke, SUDAN.
View attachment 2383656View attachment 2383657