Yanga Mliona mbali sana Mapinduzi Cup

Yanga Mliona mbali sana Mapinduzi Cup

Mpaka hatua hii Yanga ndio timu pekee iliyotolewa Kihalali kwa kufungwa goli 3 kwa 1 ushindi ambao haukuwa na utata wowote the rest zimetolewa kwa mapungufu ya waamuzi ikiwamo APR na Singida FG
 
Baada ya Mlandege kupita jana na Simba kupita leo nusu fainali, sasa ndipo naelewa ni kwanini timu ya Yanga haikuyapa UMUHIMU MASHINDANO Haya.

Yanga mliona mbali sana
Acha kujibaraguzi wakati tunakuona una chembe ya wali shavuni!
 
Manara huyohuy akasem kwamb hakuna mashabik wajnga dunian Kam wa Simba n pia ndo mbatizaj wa Jin lenu maaruf mnalolipend la makolo
Nyie ni nani aliwabatiza utopolo?
 
Hayo mashindano hatukuyatilia maanani.
Ndio maana tukaamua kuwatumia vijana wadogo ili kukuza vipaji vyao vya mpira
Vijana akina
Mauya
Kibwana
Romalisa
Mzimze
Kibabage
Moroko
Skudu
Msheri
Shekan
Nk.
 
Bado sielewi kinachowafanya hawa jamaa wafurahie kuingia fainali ya hili bonanza!!
 
Back
Top Bottom