Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
Kwenye ligi yetu iliwahi kutokea. Yanga MNAKUMBUKA??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Golini alikuwa Metatcha Mlata. Yanga walishinda 2-1 dhidi ya Lipuli ambao goli lao la wazi kabisa lilikataliwa.Mkuki kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu
Kabisa... Lakini mayowe yasiwe mengi..🤣🤣🤣Kama ni karma sawa.
Ila nao waneonewa
VAR ilikuwepo ? Nikweli tunatofautiana uwezo wa kufikiri soma kuhusu kazi ya VARKwenye ligi yetu iliwahi kutokea. Yanga MNAKUMBUKA??
Uwezo wa watanzania ni mdogo sana ana sahau kuna marefa wa VAR na wanalipwa helaVAR ilikuwepo ? Nikweli tunatofautiana uwezo wa kufikiri soma kuhusu kazi ya VAR
Kwahiyo kazi ya VAR ni kuangalizia pono?.VAR ilikuwepo ? Nikweli tunatofautiana uwezo wa kufikiri soma kuhusu kazi ya VAR
Anachokijua nI kubisha kwasababu kubishana kupoUwezo wa watanzania ni mdogo sana ana sahau kuna marefa wa VAR na wanalipwa hela
Timu zote mbili kwa nyakati tofauti zimemukua zikibebwa sana ni unafki wa hali ya juu kuinyooshea kidole timu mojaAnachokijua nI kubisha kwasababu kubishana kupo
Kumsaidia muamuzi ambaye yuko mbali na tukio kumsaidia kutoa maamuzi kwa kwaKukuangalia wewe mchezaji na matukio yote ya uwanjani ulichofanyiwa ama FanyaKwahi
Kwahiyo kazi ya VAR ni kuangalizia pono?.
Mshaelezwa kazi hiyo ni ya teknolojia inayogundua kama mpira umevuka mstari Wa goli.VAR ilikuwepo ? Nikweli tunatofautiana uwezo wa kufikiri soma kuhusu kazi ya VAR
Kwahiyo hawezi kumsaidia kutoa maamzi ya goli tata?Kumsaidia muamuzi ambaye yuko mbali na tukio kumsaidia kutoa maamuzi kwa kwaKukuangalia matukio yote ya uwanjani ulichofanyiwa ama Fanya
Hapo ubishi upo kwenye nini??Anachokijua nI kubisha kwasababu kubishana kupo
Hapo ubishi upo kwenye nini??
Hamtaki mawazo tofauti na yenu Kwa kisingizio kuwa mnabishiwa!!??
Tatizo la nguruwe ni Nini!!??Hamna mtu wa njombe mwenye akili... Mmekalia kula manguruwe... Shenzi kabisa