Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 21,470
- 40,593
- Thread starter
- #61
Wana mabao ya magumashi yanayotosha kujaa kapu la muuza dagaa...🤣🤣🤣Na wakibisha tunawawekea video waone kabisa! Nyambafu!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wana mabao ya magumashi yanayotosha kujaa kapu la muuza dagaa...🤣🤣🤣Na wakibisha tunawawekea video waone kabisa! Nyambafu!
Cha kushangaza eti Ahmed Ally akiongea nongwa Ila Ally Kamwe akibwabwaja ndio Sawa. Kwa wenye akili ule wote ni UJINGA na MWANZILISHI ni Manara. Tunakoelea watafanyiwa mizengwe wala wasiwe wananusa huko juu.Yanga bila maagano haiendi.
Simba wafungwe au wadhulumiwe huwa wanatulia tu... Utopwinyo Hadi bakora zipigwe...
Maskini Shahau Kambi...😔😔
Ilikuwaje sasa ikawa kona?Ili liwe goli Ilitakiwa uo mpira uvuke uo mwamba kama hauja vuka sio goli, kwakua uo mwamba wa goli unaungana na post kwa juu na Chini una ungana na mstari(goal line) Labda useme mwili wa metacha ulivuka mstari ila si mpira alio ushika.
Ndugu mbumbumbu Inatakiwa ujifunze sheria za mchezo kwanza.
Na mpaka tukio ilo linatokea Yanga alikua mbele kwa Goli mbili.
Hapo hupati jibu bwana...Ilikuwaje sasa ikawa kona?
Hii ni komenti ya kumalizia mfungo...🙏🙏Kwa wenye akili ule wote ni UJINGA na MWANZILISHI ni Manara.
Ni mabingwa wa kuhalalisha haramu.Msimu uliopita mchezaji alipigwa na mpira tumboni nje ya box refa akawapa penalty ikafungwa na chizi Morison
Ahahahahaha! Wasisahau na penati ya dhidi ya Geita Gold hapa CCM Kirumba Mwanza. Mpira inashikwa kwenye 'half circle' inaenda kupigwa penati! Ahahahahaha!!!Wana mabao ya magumashi yanayotosha kujaa kapu la muuza dagaa...🤣🤣🤣