tamsana
JF-Expert Member
- Jan 13, 2012
- 3,739
- 8,044
Imagine wangekuwa wao sasaSasa hapo inakuwaje kona!!?? 🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imagine wangekuwa wao sasaSasa hapo inakuwaje kona!!?? 🤣🤣🤣
Balaa lake wangeandika barua mpaka UN badala ya FIFA...😅😅🤣🤣Imagine wangekuwa wao sasa
hapa ilikuwa mechi na coastal unionGolini alikuwa Metatcha Mlata. Yanga walishinda 2-1 dhidi ya Lipuli ambao goli lao la wazi kabisa lilikataliwa.
Tumia lugha yoyote ya kuudhi lakini Mamelod anacheza nusu fainali.Ujinga ujinga na roho ya kimaskini tu ndivyo vinavyokutesa Kolowizards [emoji38]View attachment 2956799
Wamesahau [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mechi ya geita mchezaji amenawa mpira nje ya 18 yard refa kaweka kati penalty, wakashinda moja bila full time
na mwamuzi akikuwepo hapo karibu kabsa
Wanajisahaulisha.... Maradona na goli lake la mkono mpaka Leo waingereza wamemnunia japo jamaa keshakufa..🤣🤣Wamesahau [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Walilikataa sababu hakuna kitu yanga wanaweza fanya zaidi ya kupaisha penati na kurudi nyumbani. Kama wangekuwa na uwezo wangefunga goli jingine.Jenga hoja kwanza ili tukuelewe.
Hoja ya mashabiki wa utopolo ni kuwa, walifunga goli halali (na ni kweli), waamuzi kwa kutumia VAR wakalikataa.
Sasa mleta mada anzia hapo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wanajisahaulisha.... Maradona na goli lake la mkono mpaka Leo waingereza wamemnunia japo jamaa keshakufa..[emoji1787][emoji1787]
🤣🤣🤣🤣Raha ya mpira ni dhulma na dhulma isiwe upande wako 😂
Mbona hamjalalamika lile la Max alilopiga mlipocheza na Ihefu,refa akaweka kati mkashangilia. Mkuki mtamu kwa nguruweIli liwe goli Ilitakiwa uo mpira uvuke uo mwamba kama hauja vuka sio goli, kwakua uo mwamba wa goli unaungana na post kwa juu na Chini una ungana na mstari(goal line) Labda useme mwili wa metacha ulivuka mstari ila si mpira alio ushika.
Ndugu mbumbumbu Inatakiwa ujifunze sheria za mchezo kwanza.
Na mpaka tukio ilo linatokea Yanga alikua mbele kwa Goli mbili.
Mashabiki wa Yanga ni wehu mchangamko.🤣
Hahahaa kwa nini mnatusakama sanaAlishawahi kushika mtu nje ya box, refa akaweka penati
Tunachangamsha baraza tu , sasa ndio muda wa utani wa jadi. 😂Hahahaa kwa nini mnatusakama sana
Kwa tunakoelekea CAF watalirudisha goli la Yanga walikolipeleka 😁😁. Tunaenda siku ya tatu bado hawajasahau. Watakoma kuwaibia goli😄😄😄Ujinga ujinga na roho ya kimaskini tu ndivyo vinavyokutesa Kolowizards [emoji38]View attachment 2956799
Wangeandika FAO, WHO, SADEC, UNHCR, 😄😄. Ila Yanga kiboko wameitia jambajamba CAF siku tatu mfulilizo. Supu ya Jangwani hiyo. MAAGANO🙄🙄Balaa lake wangeandika barua mpaka UN badala ya FIFA...😅😅🤣🤣
Yanga bila maagano haiendi.Wangeandika FAO, WHO, SADEC, UNHCR, 😄😄. Ila Yanga kiboko wameitia jambajamba CAF siku tatu mfulilizo. Supu ya Jangwani hiyo. MAAGANO🙄🙄
Na wakibisha tunawawekea video waone kabisa! Nyambafu!Kwenye ligi yetu iliwahi kutokea. Yanga MNAKUMBUKA??