Yanga mlishawahi kufungwa goli Refa akasema ni kona. MNAKUMBUKA??

Yanga mlishawahi kufungwa goli Refa akasema ni kona. MNAKUMBUKA??

"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
Akishinda Yanga mnaumia, akifungwa bado mnapiga kelele mtafikiri nyie ndiyo mmefungwa
 
"MASHABIKI WA YANGA NI MAMBWA HAKUNA LOLOTE WANALOJUA KUHUSU KANDANDA ILA MUDA WOTE WANAZOMEA TU UTADHANI MANYANI"

- DR LUC EYMAEL 2020
Wewe ndo maana popoma anakuonaga huna akili

We unasemaga ushabiki wa mpira ni upumbavu

Kumbe ni kolo
Jana baada ya yanga kudhuliwa goli umetoka pangoni kujifari, kuonesha kuwa wewe ni mfugo wa Rage mbumbumbu

Kuwa shabiki wa ukweli acha unafiki kama demu
 
Ili liwe goli Ilitakiwa uo mpira uvuke uo mwamba kama hauja vuka sio goli, kwakua uo mwamba wa goli unaungana na post kwa juu na Chini una ungana na mstari(goal line) Labda useme mwili wa metacha ulivuka mstari ila si mpira alio ushika.
Ndugu mbumbumbu Inatakiwa ujifunze sheria za mchezo kwanza.
Na mpaka tukio ilo linatokea Yanga alikua mbele kwa Goli mbili.
 
Kuna mechi na Azam mpira ulitoka kabla ya kurudishwa ikawa goli walishangilia wakaona goli halali.
Kuna mechi na Namungo Feitoto alianguka bila kuguswa ikatolewa penati. Watu walishangilia unbeaten
 
mstari wa Ubuntu boto kuanzia aya ya 1:2 mpaka mstari 4:2 maandiko yanasema kila goti litapigwa,
malipo ni hapahapa Duniani.
 
Wewe ndo maana popoma anakuonaga huna akili

We unasemaga ushabiki wa mpira ni upumbavu

Kumbe ni kolo
Jana baada ya yanga kudhuliwa goli umetoka pangoni kujifari, kuonesha kuwa wewe ni mfugo wa Rage mbumbumbu

Kuwa shabiki wa ukweli acha unafiki kama demu

Kumbe wewe Tahira Ndio maana Unamuabudu Chizi Mwenzio

Huelewi maana ya Kushabikia sana?????

Mimi sishabikii mpira wa matahora wa simba na yanga na hata kuufuatilia kwangu hakufiki 5%

Tofauti na wewe unafuatilia 100000% mbw
 
Kwenye ligi yetu iliwahi kutokea. Yanga MNAKUMBUKA??
Jenga hoja kwanza ili tukuelewe.
Hoja ya mashabiki wa utopolo ni kuwa, walifunga goli halali (na ni kweli), waamuzi kwa kutumia VAR wakalikataa.
Sasa mleta mada anzia hapo.
 
Jenga hoja kwanza ili tukuelewe.
Hoja ya mashabiki wa utopolo ni kuwa, walifunga goli halali (na ni kweli), waamuzi kwa kutumia VAR wakalikataa.
Sasa mleta mada anzia hapo.
Kwanza Kwa Sheria zote za mpira zilizopo Sasa, refarii halazimiki kuchukua ushauri Wa msaidizi wake yeyote yule Kwa LAZIMA.

VAR ni washauri tu wa refarii na hata Sheria yenyewe ya VAR inasema kuwa kuangalia VAR au kukubali ushauri Wa wanaoisimamia VAR ni hiyari ya Refarii.

Kwa tukio lile refarii hakuona umuhimu Wa yeye kwenda kuangalia VAR (Hadi hapo hajavunja Sheria yoyote ya mpira)

Jee nani anajua watu Wa VAR walimwambia nini Refarii?? Walisema lilikuwa goli au walisemaje??

Uzuri sauti za wasimamizi Wa VAR hurekodiwa. Mpaka zitakapotolewa, ndipo tutajua ni kwa nini Refarii aliamua alivyoamua.
 
Malipo ni hapa hapa duniani
Ujinga ujinga na roho ya kimaskini tu ndivyo vinavyokutesa Kolowizards [emoji38]
Screenshot_2024-04-07-16-00-31-66_40deb401b9ffe8e1df2f1cc5ba480b12.jpg
 
Back
Top Bottom