pwilo
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 10,913
- 13,876
Kweli ndio maana mashabiki wa simba walikuwa wanaenda airport kupokea wageni siku za kazi na kumbeba raisi wao mpaka makao makuu kwenye kiti kama mfalme.Leo siku ya kazi, mashabiki wengi wa Yanga ni wafanyakazi..,Simba masela /wahuni wengi na wacheza vigodoro[emoji16]