Yanga mmeingizwa bure ila mmeingia wachache kuliko Simba walioingia jana kwa pesa zao

Yanga mmeingizwa bure ila mmeingia wachache kuliko Simba walioingia jana kwa pesa zao

Wewe itakuwa ni mwanasiasa tena wa siasa za CCM. Nyie ndiyo mnapenda unafki wa kupongezana pongezana hata kwa mambo yasiyostahili. Mtu anatimiza wajibu wake unaandaa maandamano ya kumpongeza. Mtu anaenda uwanjani kwa utashi wake, labla kwa kuchagizwa na unafuu wa bei ya tiketi unataka klabu pinzani itoe waraka wa kuwapongeza.
Kama ulitoa waraka wa Yanga kuifaidisha Simba, kwanini usitoe pongezi kwa faida uliyopata? Kama kitu kimekupa faida, kipongeze.
Kama ni wajibu na hawatakiwi kupongezwa, kwanini huwa tunawashukuru baada ya Simba Day na Yanga Day?
 
Kama ulitoa waraka wa Yanga kuifaidisha Simba, kwanini usitoe pongezi kwa faida uliyopata? Kama kitu kimekupa faida, kipongeze.
Kama ni wajibu na hawatakiwi kupongezwa, kwanini huwa tunawashukuru baada ya Simba Day na Yanga Day?
Kupongeza ni chaka la wanafki na chawa kuanzia katika siasa hadi mnaleta kwenye mpira, ndiyo maana mnafikia hatua mnashindwa kutofautisha kati ya kushukuru, kupongeza na kutambua matendo ya mtu. Jaribu kujua tofauti kati ya vitu hivyo vitatu itakusaidia sana.
 
Kupongeza ni chaka la wanafki na chawa kuanzia katika siasa hadi mnaleta kwenye mpira, ndiyo maana mnafikia hatua mnashindwa kutofautisha kati ya kushukuru, kupongeza na kutambua matendo ya mtu. Jaribu kujua tofauti kati ya vitu hivyo vitatu itakusaidia sana.
Nimekuuliza mbona Simba na Yanga huwa zinawapongeza mashabiki wao wakijaa kwenye Simba na Yanga Day?
 
Back
Top Bottom