Yanga mmesema Tiketi za VIP zimeshaisha, tunaomna mtutangazie mapema kuhusu kuingia bure

Yanga mmesema Tiketi za VIP zimeshaisha, tunaomna mtutangazie mapema kuhusu kuingia bure

PakiJinja

JF-Expert Member
Joined
Jan 16, 2012
Posts
11,689
Reaction score
25,848
Napenda kuushukuru uongozi wa Yanga ambao kupitiabmsemaji wetu Ali Kamwe walitutangazia kuwa Tickets za VIP zote ni Sold Out.
Naomba niwakumbushe kwamba, maadam VIP zimeshauzwa zote, ni vyema wakatutangazia mapema kuhusu kuingia bure siku ya Wananchi ili tuweze kujiandaa kuujaza Uwania, na tuionyeshe dunia kuwa Yanga ina watu.
Kama tunavyojaa kwenye kunywa supu, tutajitokeza kwa wingi siku hiyo ya Wananchi lakini mtutangazie mapema kuhusu kuingia bure ili tuwe na uhakika, au kama tutatakiwa kulipia basi tujiandae kwenda vibanda umiza.
Ila Chama langu nawaamini hamtatuangusha, lazima mfadhili atatununulia tiketi tu.
 
Napenda kuushukuru uongozi wa Yanga ambao kupitiabmsemaji wetu Ali Kamwe walitutangazia kuwa Tickets za VIP zote ni Sold Out.
Naomba niwakumbushe kwamba, maadam VIP zimeshauzwa zote, ni vyema wakatutangazia mapema kuhusu kuingia bure siku ya Wananchi ili tuweze kujiandaa kuujaza Uwania, na tuionyeshe dunia kuwa Yanga ina watu.
Kama tunavyojaa kwenye kunywa supu, tutajitokeza kwa wingi siku hiyo ya Wananchi lakini mtutangazie mapema kuhusu kuingia bure ili tuwe na uhakika, au kama tutatakiwa kulipia basi tujiandae kwenda vibanda umiza.
Ila Chama langu nawaamini hamtatuangusha, lazima mfadhili atatununulia tiketi tu.
Huyu nae.
 
Hata Mimi nataman kuingia bure SIKU ya wananchi watwambie mapema,, na supu Jmos watwambie ni muda gan tuje Ili tusije kukosa Kwa kuchelewa
 
4f64e2ce18f04f48a8a7142e4d868dd5.jpg
 
Mara paap wenye msiba (wavaa sanda) hawaujazi uwanja, hapo ndipo watakapojua kuwa Yanga ni kubwa.
 
Back
Top Bottom