Yanga mngependa kukutana na timu gani kati ya hizi tatu kwenye robo fainali ya kombe la losers? Rivers United, USM Alger au Pyramids

Yanga mngependa kukutana na timu gani kati ya hizi tatu kwenye robo fainali ya kombe la losers? Rivers United, USM Alger au Pyramids

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2019
Posts
3,359
Reaction score
6,568
Chei chei!

Timu ya Yanga inakwenda kuumaliza mwendo katika kombe la waliofeli kwani wanakwenda kukutana na miamba mitatu ambayo isingependa kukutana nayo. Yanga amemaliza kama kinara wa kundi Dada....ila anakwenda kukumbana na hatari kubwa mbele yake kwani alitegemea labda atapata vibonde ambao watashika nafasi ya pili kwenye kundi A,b na c ila mambo yamekuwa ndivyo sivyo kwani nafasi za pili zimeshikwa na wauaji...

Nafasi ya pili kundi A imeshikwa na miamba ya Algeria, USM Alger, kundi B imekamatwa na miamba ya soka ya Nigeria ambao waliwatoa Yanga katika kombe la klabu bingwa Afrika kwa kuibugiza mabao nyumbani na ugenini, naizungumzia RIVERS UNITED huku kundi C nafasi ya pili ikikamatwa na miamba ya soka ya nchini Misri, Pyramids fc.

Kiufupi natanguliza salamu za rambirambi kwa Eng.Hersi na timu yake nawaambia asanteni kwa kushiriki katika michuano ya kombe la shirikisho afrika.Tuonane tena msimu ujao.
 
Mimi sio mshabiki wa Yanga, lakini ukweli halisi ni huu:
-Yanga kuingia hatua ya robo fainali maana yake kwa sasa Yanga ni timu kubwa na Imara (tazama ilikuwa kundi lenye timu gani)

-Yanga kumaliza kinara kwenye kundi gumu maana yake Yanga ni klabu kubwa hapa Afrika, inaweza kushindana na timu yoyote kubwa, itakutana na timu dhaifu na itaanzia ugenini.
 
Kwa faida tu ya wasomaji wa uzi huu

Mwaka 2019 Yanga ilikutana na Pyramids fc ktk kombe hilihili la shirikisho, ikaambulia kipigo cha goli tatu ktk uwanja wa kirumba na kisha ikaenda kucharazwa goli 2 pale alexandria...ikawa imetolewa kwa jumla ya goli 5-1
 
Rivers United ndio timu dhaifu kati ya hizo. Hata mwaka ule wanaitoa Yanga ni kwa sababu wachezaji wa kigeni wa Yanga walichelewa kupata usajili kwa wakati lakini kiuhalisia ndio timu dhaifu kwa sasa
 
Mimi sio mshabiki wa Yanga, lakini ukweli halisi ni huu:
-Yanga kuingia hatua ya robo fainali maana yake kwa sasa Yanga ni timu kubwa na Imara (tazama ilikuwa kundi lenye timu gani)

-Yanga kumaliza kinara kwenye kundi gumu maana yake Yanga ni klabu kubwa hapa Afrika, inaweza kushindana na timu yoyote kubwa, itakutana na timu dhaifu na itaanzia ugenini.
Kundi gumu lenye timu zilizojifia kama Tp mazembe na real bamako? Hivi na kundi lililokuwa na timu kama ASFAR ,Pyramids, future na Asko lisemeje? Au kundi A lililokuwa na Marumo gallants, USM Alger, st eloi lupopo na Al Akhdar?

Yanga ndie aliyekuwa kwenye kundi la vibonde kuliko yote
 
Taarifa kutoka vyanzo vyangu vya kuaminika nchini misri, zinasema mashabiki wa Pyramids wanaombea CAF iwapangie Yanga ili waweze kusonga hatua ya nusu fainali
 
Taarifa kutoka vyanzo vyangu vya kuaminika nchini misri, zinasema mashabiki wa Pyramids wanaombea CAF iwapangie Yanga ili waweze kusonga hatua ya nusu fainali
Mimi taarifa nilizozipata kutoka bondeni kwa madiba, zinasema Masandawana wanakula sana karanga huku wakiomba wapewe Makolo. Kuna mtu atafanywa kitu kibaya sana mbele ya hadhira!
 
Timu zilizoshika nafasi ya pili katika makundi ya shirikisho

Kundi A: USM Alger: Huyu alifanikiwa kuongoza kundi D la shirikisho mwaka 2018...aliibugiza Yanga goli 4-0 pale jijini algers nchini Algeria katika mechi ya kwanza tu ya ufunguzi wa kundi...itoshe kusema kuwa yanga aliburuza mkia akiwa na jumla ya alama 4 nyuma ya Gormahia,Rayon sport na USM Alger

Kundi B: Rivers United ....huyu aliwazamisha mwiko utopolo nyumbani na ugenini

Kundi C: Pyramids...licha ya Yanga kuihamisha mechi ikachezwe kirumba mwaka 2019...Pyramids walikimaliza kipakti cha Salama kwa goli tayu za kibabe na kule misri waliwafunga utopolo bao 2....Yanga aliaga mashindano ya shirikisho kwa staili hiyo.


Hivyo yanga anakwenda kukutana na wajanja wake na itoshe kusema kuwa wameumaliza mwendo
 
Chei chei!

Timu ya Yanga inakwenda kuumaliza mwendo katika kombe la waliofeli kwani wanakwenda kukutana na miamba mitatu ambayo isingependa kukutana nayo. Yanga amemaliza kama kinara wa kundi Dada....ila anakwenda kukumbana na hatari kubwa mbele yake kwani alitegemea labda atapata vibonde ambao watashika nafasi ya pili kwenye kundi A,b na c ila mambo yamekuwa ndivyo sivyo kwani nafasi za pili zimeshikwa na wauaji...

Nafasi ya pili kundi A imeshikwa na miamba ya Algeria, USM Alger, kundi B imekamatwa na miamba ya soka ya Nigeria ambao waliwatoa Yanga katika kombe la klabu bingwa Afrika kwa kuibugiza mabao nyumbani na ugenini, naizungumzia RIVERS UNITED huku kundi C nafasi ya pili ikikamatwa na miamba ya soka ya nchini Misri, Pyramids fc.

Kiufupi natanguliza salamu za rambirambi kwa Eng.Hersi na timu yake nawaambia asanteni kwa kushiriki katika michuano ya kombe la shirikisho afrika.Tuonane tena msimu ujao.
Simba....
 
Kundi gumu lenye timu zilizojifia kama Tp mazembe na real bamako? Hivi na kundi lililokuwa na timu kama ASFAR ,Pyramids, future na Asko lisemeje? Au kundi A lililokuwa na Marumo gallants, USM Alger, st eloi lupopo na Al Akhdar?

Yanga ndie aliyekuwa kwenye kundi la vibonde kuliko yote
Mazembe na lupopo nani kibonde kongo?

Nyie watoto mliozaliwa 2010 mna matatizo kabisa
 
Timu zilizoshika nafasi ya pili katika makundi ya shirikisho

Kundi A: USM Alger: Huyu alifanikiwa kuongoza kundi D la shirikisho mwaka 2018...aliibugiza Yanga goli 4-0 pale jijini algers nchini Algeria katika mechi ya kwanza tu ya ufunguzi wa kundi...itoshe kusema kuwa yanga aliburuza mkia akiwa na jumla ya alama 4 nyuma ya Gormahia,Rayon sport na USM Alger

Kundi B: Rivers United ....huyu aliwazamisha mwiko utopolo nyumbani na ugenini

Kundi C: Pyramids...licha ya Yanga kuihamisha mechi ikachezwe kirumba mwaka 2019...Pyramids walikimaliza kipakti cha Salama kwa goli tayu za kibabe na kule misri waliwafunga utopolo bao 2....Yanga aliaga mashindano ya shirikisho kwa staili hiyo.


Hivyo yanga anakwenda kukutana na wajanja wake na itoshe kusema kuwa wameumaliza mwendo
Sasa tukubaliane hasa aya yako ya mwisho kuwa, hizo timu ni wakali na wajanja wake yanga, tusije kusikia tena huko mbele habari za vibonde wale, pindi watakapopigwa goli za kutosha.
 
Back
Top Bottom