Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Sema na kombe anachukuaCAFcc kwakweli mwaka huu ina timu dhaifu Sana . Uto akikomaa hadi fainali anaweza fika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema na kombe anachukuaCAFcc kwakweli mwaka huu ina timu dhaifu Sana . Uto akikomaa hadi fainali anaweza fika.
Anayeongoza ligi ya Morocco yupo huku CAFCC na aliyewapiga nyie ndani nje yupo nafasi ya 4 huko.Sasa sijui timu dhahifu ni ipi hapo.CAFcc kwakweli mwaka huu ina timu dhaifu Sana . Uto akikomaa hadi fainali anaweza fika.
Duh kwa hiyo wahuni wote waliowahi kuigonga Yanga ndiyo wanaweza kupangwa naye tena? Aiseee.Timu zilizoshika nafasi ya pili katika makundi ya shirikisho
Kundi A: USM Alger: Huyu alifanikiwa kuongoza kundi D la shirikisho mwaka 2018...aliibugiza Yanga goli 4-0 pale jijini algers nchini Algeria katika mechi ya kwanza tu ya ufunguzi wa kundi...itoshe kusema kuwa yanga aliburuza mkia akiwa na jumla ya alama 4 nyuma ya Gormahia,Rayon sport na USM Alger
Kundi B: Rivers United ....huyu aliwazamisha mwiko utopolo nyumbani na ugenini
Kundi C: Pyramids...licha ya Yanga kuihamisha mechi ikachezwe kirumba mwaka 2019...Pyramids walikimaliza kipakti cha Salama kwa goli tayu za kibabe na kule misri waliwafunga utopolo bao 2....Yanga aliaga mashindano ya shirikisho kwa staili hiyo.
Hivyo yanga anakwenda kukutana na wajanja wake na itoshe kusema kuwa wameumaliza mwendo
Mwanamke ambae ushakuwa nae kwenye mahusiano mkiachana ukikutana nae huwa havungi...unamla tuDuh kwa hiyo wahuni wote waliowahi kuigonga Yanga ndiyo wanaweza kupangwa naye tena? Aiseee.
Naishauri CAF wawapangie wote wa3 waje kumgonga kwa pamoja. Hiyo mechi weka mbali na watoto. Na game kama hizo kwenye geto la demu huwa zinanoga sana 🤣😂🤣Mwanamke ambae ushakuwa nae kwenye mahusiano mkiachana ukikutana nae huwa havungi...unamla tu