Yanga mngependa kukutana na timu gani kati ya hizi tatu kwenye robo fainali ya kombe la losers? Rivers United, USM Alger au Pyramids

Timu Zote Zenye Uwezekano Wa Kukutana Na Simba Robo Finali Champions League Zipo Top 5

Huku Timu Moja Kati Ya Tatu Ambazo Zinaweza Kukutana Na Yanga Shirikisho Ipo Top Ten Nafasi Ya 10
 
Duh kwa hiyo wahuni wote waliowahi kuigonga Yanga ndiyo wanaweza kupangwa naye tena? Aiseee.
 
Mwanamke ambae ushakuwa nae kwenye mahusiano mkiachana ukikutana nae huwa havungi...unamla tu
Naishauri CAF wawapangie wote wa3 waje kumgonga kwa pamoja. Hiyo mechi weka mbali na watoto. Na game kama hizo kwenye geto la demu huwa zinanoga sana 🤣😂🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…