Yanga msisahau mpo Shirikisho Afrika baada ya kuondolewa Champions League ilipo Simba

Yanga msisahau mpo Shirikisho Afrika baada ya kuondolewa Champions League ilipo Simba

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
Yanga nawapongeza kwa kidogo mlichopata, lakini naona kama mmesahau mpo kombe la Shirikisho baada ya kushindwa kwenye kombe la Mabingwa, ambapo ndio Simba ilipo

Yanga haijawahi kucheza hatua ya Makundi kombe la CAF Champions League tangu mwaka 1997...Think about That

Ni kama mashindano ya Europa Leaugue wanapocheza akina Sevilla, Westham, Villarreal vs Mashindano ya UEFA Champions League wanapocheza Real Madrid na Bayern Munich, ni vitu viwili vyenye quality ya tofauti kabisa

Nawakumbusha tu
 
Nakukumbusha tu
p_6832124121384522232757_0_5e7075bc9850341bc4dd7edf10dd5eca.jpg

Bado mpo chini ya Simba, kimataifa
 
kwaiyo tukusaidie nn mkuu naona kama bado una wenge
Yanga nawapongeza kwa kidogo mlichopata, lakini naona kama mmesahau mpo kombe la Shirikisho baada ya kushindwa kwenye kombe la Mabingwa, ambapo ndio Simba ilipo

Yanga haijawahi kucheza hatua ya Makundi kombe la CAF Champions League tangu mwaka 1997...Think about That

Ni kama mashindano ya Europa Leaugue wanapocheza akina Sevilla, Westham, Villarreal vs Mashindano ya UEFA Champions League wanapocheza Real Madrid na Bayern Munich, ni vitu viwili vyenye quality ya tofauti kabisa

Nawakumbusha tu
kwaiyo tukusaidie nn mkuu naona kama bado una wenge
 
Back
Top Bottom