muokotamatunda
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,614
- 1,202
zile 3 za mwarabu bado zinakupa kichefu chefu.Yanga nawapongeza kwa kidogo mlichopata, lakini naona kama mmesahau mpo kombe la Shirikisho baada ya kushindwa kwenye kombe la Mabingwa, ambapo ndio Simba ilipo
Yanga haijawahi kucheza hatua ya Makundi kombe la CAF Champions League tangu mwaka 1997...Think about That
Ni kama mashindano ya Europa Leaugue wanapocheza akina Sevilla, Westham, Villarreal vs Mashindano ya UEFA Champions League wanapocheza Real Madrid na Bayern Munich, ni vitu viwili vyenye quality ya tofauti kabisa
Nawakumbusha tu
SO WHAT[emoji2369][emoji2368][emoji1745]Yanga nawapongeza kwa kidogo mlichopata, lakini naona kama mmesahau mpo kombe la Shirikisho baada ya kushindwa kwenye kombe la Mabingwa, ambapo ndio Simba ilipo
Yanga haijawahi kucheza hatua ya Makundi kombe la CAF Champions League tangu mwaka 1997...Think about That
Ni kama mashindano ya Europa Leaugue wanapocheza akina Sevilla, Westham, Villarreal vs Mashindano ya UEFA Champions League wanapocheza Real Madrid na Bayern Munich, ni vitu viwili vyenye quality ya tofauti kabisa
Nawakumbusha tu
Mimi sihitaji msaada, nyie ndio mnatakiwa msaidiwe maana ni kama mmesahau mna miaka 25 kushiriki katika Champions Leaguekwaiyo tukusaidie nn mkuu naona kama bado una wenge
kwaiyo tukusaidie nn mkuu naona kama bado una wenge
AhaaahahMimi sihitaji msaada, nyie ndio mnatakiwa msaidiwe maana ni kama mmesahau mna miaka 25 kushiriki katika Champions League
Kwani nani kakwambia tumesahau Raja?
Naona umeamua kuwachokonoa. Mara ya mwisho kucheza hatua hizi kwenye CL, hata Kikwete alikuwa hajawa Rais, can you imagine? Yaani Nyerere alikuwa hai, leo kuna watu wazima ambao walikuwa hawajazaliwa wakati Nyerere yupo hai.Natoa elimu ya bure
yani mpaka wanatia aibu [emoji1787]hawa raja wabaya sana wanapiga za utosi tu jamaa zetu washakuwa mazezeta ivo
Yanga nawapongeza kwa kidogo mlichopata, lakini naona kama mmesahau mpo kombe la Shirikisho baada ya kushindwa kwenye kombe la Mabingwa, ambapo ndio Simba ilipo
Yanga haijawahi kucheza hatua ya Makundi kombe la CAF Champions League tangu mwaka 1997...Think about That
Ni kama mashindano ya Europa Leaugue wanapocheza akina Sevilla, Westham, Villarreal vs Mashindano ya UEFA Champions League wanapocheza Real Madrid na Bayern Munich, ni vitu viwili vyenye quality ya tofauti kabisa
Nawakumbusha tu
Mashindano yapi dhidi ya mashindano yapi??Tumeshasema maneno kidogo, magoli mengi...
Haijalishi tuko wapi...
Mmepigwa 3 mzuka... tumepiga 3 mzuka nani ni nani?
Umezunguka sana mkuu, ungesema tu kombe la losers in manara's voiceYanga nawapongeza kwa kidogo mlichopata, lakini naona kama mmesahau mpo kombe la Shirikisho baada ya kushindwa kwenye kombe la Mabingwa, ambapo ndio Simba ilipo
Yanga haijawahi kucheza hatua ya Makundi kombe la CAF Champions League tangu mwaka 1997...Think about That
Ni kama mashindano ya Europa Leaugue wanapocheza akina Sevilla, Westham, Villarreal vs Mashindano ya UEFA Champions League wanapocheza Real Madrid na Bayern Munich, ni vitu viwili vyenye quality ya tofauti kabisa
Nawakumbusha tu