Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Hayo yote ni kwa mujibu wa Jemedari Said Kazumari. Kama itatokea kweli basi yatajirudia ya Feitoto alivyotolewa na Singida Utd kwenda Yanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Manara kafanikisha kukuchukua hadi wewe kwenye bifu lake na JemedariHuyu bwege kila mara anatafuta headline kupitia yanga..
Sisi tunampuuzia
Hapana moloko alishapangwa kurudi kwaoYanga mbona kama hawajiamini, si tulikubaliana kuwa tumemaliza usajili. Kipigo kinewazuzua yanga
Huyu bwege kila mara anatafuta headline kupitia yanga..
Sisi tunampuuzia
hahahaha sio muandishi huyoHii ni breaking news au tetesi? huyu mwandishi wa habari kasomea wapi?
Wenye Akili tunajua kuwa Singida Big Stars ni Yanga SC B hivyo hapa hakuna Kipya Kwetu.Hayo yote ni kwa mujibu wa Jemedari Said Kazumari. Kama itatokea kweli basi yatajirudia ya Feitoto alivyotolewa na Singida Utd kwenda Yanga.
View attachment 2319554
Tofauti ni kwamba mzungu wetu ni muuza madafu ila wenzetu mzungu wao anaujua mpira haswa.Wenye Akili tunajua kuwa Singida Big Stars ni Yanga SC B hivyo hapana hakuna Kipya Kwetu.
Baada ya kuona Simba SC ina Mzungu Dejan na Wao pia wanalazimisha wawe na Mzungu wao yaani ni Full Kuigana tu ksma walivyotuiga Simba Day.
Huyo ni KitengeHuyu bwege kila mara anatafuta headline kupitia yanga..
Sisi tunampuuzia