ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Huyu si mzungu ni mwafrika mwenzetu mbrazil ni kama Neymar tu...sasa utasema Neymar ni mzungu?Wenye Akili tunajua kuwa Singida Big Stars ni Yanga SC B hivyo hapa hakuna Kipya Kwetu.
Baada ya kuona Simba SC ina Mzungu Dejan na Wao pia wanalazimisha wawe na Mzungu wao yaani ni Full Kuigana tu kama walivyotuiga Simba Day nao wana ( wakaja ) na Siku ya Wananchi.
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app