Kwa maoni yangu, siku nyingine ukiandika mada, jaribu kutoa hoja na mifano hai, ili tuelewe unachozungumzia, maana umelaumu TFF, bodi ya ligi na chama cha marefa, bila kusema hata kitu kimoja walichokosea.
matusi ya nini mkuu...tumia common sense kuheshim wazo la binadam mwenzako!
Ushabiki tuweke kando, ligi yetu ya Tanzania bara ipo corrupted, kuanzia daraja la kwanza ndiyo madudu kabisa, ligi kuu bingwa anaandaliwa kabla ligi kuchezwa
Tatizo lipo TFF, nachelea kusema bodi ya ligi au chama cha marefa....sababu TFF wanajua kabisa madudu ya hizi idara na wana mandate ya kuzivunja wapo kimya.
Ushauri wangu kama hakutatokea mabadiliko kwenye hizo sehemu hapo juu...tutegemee simba kuchukua ubingwa misimu yote mpaka mabadiliko ya uongozi wa TFF, chama cha waamuzi na bodi ya ligi vipo corrupted.
Leta ratiba yenye viporo 23Malalamiko haya ni halali, hakuna ligi duniani kote timu moja iwe na viporo 23 huku zingine zimebaki na mechi 5. Huu ukikuwa mpango wa TFF kuiwezesha Simba. Faida ya viporo 23 ni kufanya biashara kwa timu ambazo hazina matumaini ya kuchukua ubingwa wala kushuka daraja kuuza mechi. TFF imulikwe kwa hili.
Viporo vina uhusiano na kupanga matokeo na timu ambayo imebakiza mechi moja imeshashuka au haina uwezo wa kubeba Ubingwa wala kushuka na imebaki mechi moja wakati wewe bado mechi 9,Reasoning y a mikia wengi inafanana so Rage aliwafahamu vizuri tu
Nikuulize kulikua na sababu gani hadi mechi 6 zimebaki ligi iishe ila Simba hajacheza na Mtibwa mechi ya raundi ya kwanza (Yaani kwenye mechi 6,mbili atacheza na Mtibwa) same to Yanga na Azam uliona ligi ya wapi hayo
Aliyebebwa mtaje tu.... Akibebwa mmoja huku mwingine hatakiwi kuona ni sawa yeye kubebwa Kwa vile tu mwingine alibebwa kule...Hoja ni kwamba TFF wanaibeba Simba..
Vipi FA cup , vipi SportPesa, Mapinduzi cup nani kabebwa?
Mtibwa,KMC,Lipuli,Ndanda kwa mechi zilizobaki hata wangefungwa poa tuKwa ligi ya Bongo unajua ni timu ngapi zimeshuka daraja hadi sasa?
Na je wakati wa kucheza viporo hivi ni timu ngapi zilikuwa zimeshuka daraja na zipi zilikuwa safe katika kushika daraja ukiondoa Simba, Azam na Yanga?
Huoni kwamba kama timu zote zilikuwa na wasiwasi wa kushuka daraja mechi za Simba za viporo ndiyo zingekuwa ngumu zaidi?
Kwa hiyo niaka yote Yanga aliyochukua ubingwa kumbe ubingwa wake ni batili.Ushabiki tuweke kando, ligi yetu ya Tanzania bara ipo corrupted, kuanzia daraja la kwanza ndiyo madudu kabisa, ligi kuu bingwa anaandaliwa kabla ligi kuchezwa
Tatizo lipo TFF, nachelea kusema bodi ya ligi au chama cha marefa....sababu TFF wanajua kabisa madudu ya hizi idara na wana mandate ya kuzivunja wapo kimya.
Ushauri wangu kama hakutatokea mabadiliko kwenye hizo sehemu hapo juu...tutegemee simba kuchukua ubingwa misimu yote mpaka mabadiliko ya uongozi wa TFF, chama cha waamuzi na bodi ya ligi vipo corrupted.
Ile kauli ya kila mtu ashinde mechi zake ndio jibu lako... kakate rufaaAliyebebwa mtaje tu.... Akibebwa mmoja huku mwingine hatakiwi kuona ni sawa yeye kubebwa Kwa vile tu mwingine alibebwa kule...
Nijibu tu kwamba umewahi ona viporo 12 kwa timu moja?
TFF ya Malinzi unaijua.. mlitamba sana leo mnalia hovyonmeandika kwa kifupi sababu hamna mpenda soka wa TZ ambaye hajui madudu ya ligi yetu...kuanzia bodi ya ligi, upanga fixture na kubadili fixture...waamuzi rushwa plus uwezo mdogo nk
namsubiri arudiKwa hiyo Miaka yote Yanga aliyochukua ubingwa kumbe ubingwa wake ni batili.
Tanzania, ndio kuna viporo 12, kwani lazima tuwe kama wengine? Mbona Tanzanite inapatikana TZ tu, ajabu iko wapi hapo.Umeulizwa ushawahi ona ligi ambayo timu ina viporo 12? Hujajibu
Zile ni ligi zao na hii ni ligi yetu. Kama vipi kacheze ligi zao ambazo hazina viporoFuatilia timu za wenzetu ,ligi yao yule anayeshiriki UEFA na asiyeshiriki idadi ya michezo ni sawa hakuna viporo,sasa Simba viporo 23 timu zingine zimebaki na mechi 5. Hapa ilipangwa muvi ya timu ambazo hazina matumaini ya ubingwa wala kushuka daraja kufanya biashara na Simba. Huu ulikuwa mpango wa TFF na Simba, viporo 23!
Kupanga matokeo inawezekana hata bila viporoViporo vina uhusiano na kupanga matokeo na timu ambayo imebakiza mechi moja imeshashuka au haina uwezo wa kubeba Ubingwa wala kushuka na imebaki mechi moja wakati wewe bado mechi 9,Reasoning y a mikia wengi inafanana so Rage aliwafahamu vizuri tu
Nikuulize kulikua na sababu gani hadi mechi 6 zimebaki ligi iishe ila Simba hajacheza na Mtibwa mechi ya raundi ya kwanza (Yaani kwenye mechi 6,mbili atacheza na Mtibwa) same to Yanga na Azam uliona ligi ya wapi hayo
kukiwa na viporo umerahisishiwaKupanga matokeo inawezekana hata bila viporo
Mkuu mlegezee !!..Ili kusaidia Simba isiwe bingwa,nyinyi Yanga mngeifunga Simba kwa mechi zote,timu angalau Azam FC na Mtibwa ingeifunga Simba mechi zote. Haya nyinyi wenyewe mmeshindwa halafu mnataka Biashara United aweze. Mnatumia matako kufikiri?