kishumbaz
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 1,183
- 1,619
- Thread starter
- #121
nmeandika kwa kifupi sababu hamna mpenda soka wa TZ ambaye hajui madudu ya ligi yetu...kuanzia bodi ya ligi, upanga fixture na kubadili fixture...waamuzi rushwa plus uwezo mdogo nk
Kwa maoni yangu, siku nyingine ukiandika mada, jaribu kutoa hoja na mifano hai, ili tuelewe unachozungumzia, maana umelaumu TFF, bodi ya ligi na chama cha marefa, bila kusema hata kitu kimoja walichokosea.