Yanga nambari wani kwa online engagements katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati

Yanga nambari wani kwa online engagements katika ukanda wa Afrika Mashariki na Kati

Aaahaaa,inshu siyo wingi wa followers,inshu ni je hao followers wanakupa engagements kiasi Gani

Btw hongereni kwakuwa na followers wengi Instagram
Haya ndio mambo AMBAYO Mimi binafsi nayapenda
 
Unajua hiyo imetokana na nini?

Ni kwasababu ya Group D ambalo mlipangwa.

Hata hapa JF watu tulijadili sana kundi lenu kuliko Simba unajua ni kwanini?

Chukua na hii.

Na hata baada ya mechi yenu na Al Ahly mtaenda viral tena. Kwasababu story kubwa katika siku hiyo itakuwa "imekuwaje timu iliyocheza fainali shirikisho imekubali kichapo cha goli 5"
Mbumbumbu katika ubora aliousema RAGE.
Hizo data ni mwezi wa September.
Mechi za makundi zimepangwa mwezi gani?
 
Back
Top Bottom