Yanga ndio timu mbovu kwa sasa kwenye hatua ya robo final club bingwa

Yanga ndio timu mbovu kwa sasa kwenye hatua ya robo final club bingwa

Bwana mdogo, acha nikupe facts Hapa ili twende sawa:

1. Level ya Mpira katika makundi Yanga ilikuwa ya 3 huku Al ahly ya 1 na CRB ya 2. Lakini sisi wa 3, tumefuzu tukiwa na Game 1 mkononi. Je, nyie mliokua na level 2 mmefuzu vipi?

2. Magoal mengi ya kufungwa. Ni kweli tumefungwa mengi. Lakini tumefunga pia mangapi? Goal difference iko +.

3. Goli nyingi za kufungwa. Yes, CRB ndio chanzo cha sisi kufungwa goli nyingi, lakini rematch tumewafunga 4, i.e +1. Kwamba CRB walichezesha Team B, nikusaidie bwana mdogo, dak 90 zile, Team A Players karibu wote waliingia so tumewafunga both Team A na B. Pia chanzo cha wao kutupiga 3, ni tulikua na kipa wa Team B na wrong game approach ya Gamondi na sio ubovu.

Simba kwa level ya CAF stastistically, mko juu kuliko Sisi, the fact that uko na mawazo ya kufanya ulinganisho na sisi, basi ujue tumewasuprise.

NB; Team kubwa duniani kote, kwenye makundi hufuzu mapema.
Mashindano hua ni magumu kabla Yanga hajashiriki akiingia tu yanageuka kua dhaifu tuliambiwa huku champions League hakuna kina Malumo ni kwa wanaume sasa hivi story zimebadilika CRB nae kawekwa kwenye kundi la wabovu
 
Sawa ni dhaifu sijui kwanini kwenye ligi dhaifu yupo juu yako, na mlipo kutana yalitokea maafa
Waamuzi wa kitanzania wanaweza kuibeba timu mbovu ikaibuka mshindi dhidi ya timu bora,kwasababu za bahasha,ushabiki na uwezo mdogo,na yanga inaongoza nchi hii kwa kubebwa na waamuzi,mfano mechi ya kagera na mashujaa...hivyo kombe la ligii linaweza likachukua timu mbovu mara kwa mara,na kwa mazingira haya makombe mengi aliyochukua yanga ni yawaamuzi na sio ya yanga
 
Waamuzi wa kitanzania wanaweza kuibeba timu mbovu ikaibuka mshindi dhidi ya timu bora,kwasababu za bahasha,ushabiki na uwezo mdogo,na yanga inaongoza nchi hii kwa kubebwa na waamuzi,mfano mechi ya kagera na mashujaa...hivyo kombe la ligii linaweza likachukua timu mbovu mara kwa mara,na kwa mazingira haya makombe mengi aliyochukua yanga ni yawaamuzi na sio ya yanga
HATA ZILE 5 KWA 1 WAKINA CHAMA NA WENZIE WALIUZA MECHI

KWA HILO NAKUUNGA MKONO MKUU.
 
Hapo vip!!

Mpira ni mchezo wa wawazi na data hazidanganyi.

Kwa tathmini inavyoonyesha yanga ndio timu dhaifu na mbovu kwa sasa katika hatua hii ya robo final club bingwa kwasababu zifuatazo:
1.Ndio timu pekee iliyoingia na point chache na za mwisho kuliko timu zote.
2.Ndio timu inayoongoza kwa kufungwa magoli mengi kwenye hatua ya makundi.
3.Simba ilipocheza na Ally ALHALY wakati wa super league wame draw ndani na nje ila yanga wamedraw ndani nje wakafungwa goli moja.
4.Belouizdad walicheza walewachezaji wa akiba,ambao ni Belouizdad namba 2,hivyo timu mbovu ingeweza kuwafunga hata Tabora boys wangewafunga nne.
5.wanaomba wakutane na ASEC kwasababu ya ubovu wao.
Kwahiyo kolo kucheza na wale makirikiri na kuwafunga goli 6 ndio imeshakuwa timu bora?
 
Waamuzi wa kitanzania wanaweza kuibeba timu mbovu ikaibuka mshindi dhidi ya timu bora,kwasababu za bahasha,ushabiki na uwezo mdogo,na yanga inaongoza nchi hii kwa kubebwa na waamuzi,mfano mechi ya kagera na mashujaa...hivyo kombe la ligii linaweza likachukua timu mbovu mara kwa mara,na kwa mazingira haya makombe mengi aliyochukua yanga ni yawaamuzi na sio ya yanga
Akili huna
 
Mashindano hua ni magumu kabla Yanga hajashiriki akiingia tu yanageuka kua dhaifu tuliambiwa huku champions League hakuna kina Malumo ni kwa wanaume sasa hivi story zimebadilika CRB nae kawekwa kwenye kundi la wabovu
Aahaaa
 
  • Thanks
Reactions: Vcf
Hapo vip!!

Mpira ni mchezo wa wawazi na data hazidanganyi.

Kwa tathmini inavyoonyesha yanga ndio timu dhaifu na mbovu kwa sasa katika hatua hii ya robo final club bingwa kwasababu zifuatazo:
1.Ndio timu pekee iliyoingia na point chache na za mwisho kuliko timu zote.
2.Ndio timu inayoongoza kwa kufungwa magoli mengi kwenye hatua ya makundi.
3.Simba ilipocheza na Ally ALHALY wakati wa super league wame draw ndani na nje ila yanga wamedraw ndani nje wakafungwa goli moja.
4.Belouizdad walicheza walewachezaji wa akiba,ambao ni Belouizdad namba 2,hivyo timu mbovu ingeweza kuwafunga hata Tabora boys wangewafunga nne.
5.wanaomba wakutane na ASEC kwasababu ya ubovu wao.
💨 🚮
 
Mmeanza news za KIPUMBAVU jaribuni kubadirika kifikra. Timu zote kutoka Tanzania ni MBOVU, tufurahi kwa pamoja kwa hatua zilipo kuingiza timu mbili nifuraha kwa Tanzania na mchezo wa soka, Ila kila kukicha nyuzi za kipumbavu tuu mawazo yakipumnbavu tuu mkue kiakili badirikeni wapuuzi nyie, kutumia ID fake isiwe chanzo cha mawazo yakipumbavu Kama haya.
 
Au kwasababu wewevni shogo,unafikiri wanaume wengine wapo kama wewe..mimi sxfiri wala sifrwi natxmba tena kitxmbo cha hatari..wanaume mashabiki wa yanga wengi mnakuwa kama mashoga shogo na tabia za kike zimewajaaa
Sasa haya mambo yametoka wapi mbona vitu vingine vya kutumia akili tu
 
Hapo vip!!

Mpira ni mchezo wa wawazi na data hazidanganyi.

Kwa tathmini inavyoonyesha yanga ndio timu dhaifu na mbovu kwa sasa katika hatua hii ya robo final club bingwa kwasababu zifuatazo:
1.Ndio timu pekee iliyoingia na point chache na za mwisho kuliko timu zote.
2.Ndio timu inayoongoza kwa kufungwa magoli mengi kwenye hatua ya makundi.
3.Simba ilipocheza na Ally ALHALY wakati wa super league wame draw ndani na nje ila yanga wamedraw ndani nje wakafungwa goli moja.
4.Belouizdad walicheza walewachezaji wa akiba,ambao ni Belouizdad namba 2,hivyo timu mbovu ingeweza kuwafunga hata Tabora boys wangewafunga nne.
5.wanaomba wakutane na ASEC kwasababu ya ubovu wao.
Sio mbovu sema underdog Kwa sababu Haina uzoefu kulinganisha na hao wengine
 
Au kwasababu wewevni shogo,unafikiri wanaume wengine wapo kama wewe..mimi sxfiri wala sifrwi natxmba tena kitxmbo cha hatari..wanaume mashabiki wa yanga wengi mnakuwa kama mashoga shogo na tabia za kike zimewajaaa
Mbona hakuna muunganiko hapo?
Au wewe ni popoma kweli? Mimi nilikua na guess tu kutokana na hand writing.
 
Back
Top Bottom