Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo siyo sababu mkuu. Kwani TRA Kilimanjaro ni sawa na Jwaneng kwasbabu wote wamefungwa sita?Sawa ni dhaifu sijui kwanini kwenye ligi dhaifu yupo juu yako, na mlipo kutana yalitokea maafa
Kwahiyo ukiwafunga makolo ndo unakuwa bora??Yanga mbovu sana ilimpiga kolo 5 ingekua timu kali kolo angekula 10 [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nipe ufafanuzi wako mkuuHiyo siyo sababu mkuu. Kwani TRA Kilimanjaro ni sawa na Jwaneng kwasbabu wote wamefungwa sita?
Mambo hayaendi hivyo mkuu.
Uliposema kuhusu “maafa” ndo nikakupa huo mfano.Nipe ufafanuzi wako mkuu
Tuombe Simba na Yanga zote ziingie Semi final (kama itawezekana) halafu zikutane zenyewe tumalize ubishi. Kichaka cha robo fainali kimefyekwa ndiyo maana watu wanapagawa. Tusubiri hatua ya kuingia semi final itatupa majibu.Sio mbovu sema underdog Kwa sababu Haina uzoefu kulinganisha na hao wengine
Nadhani umeona idhaifu wa SimbaUliposema kuhusu “maafa” ndo nikakupa huo mfano.
Rage aliona mbali sanaMsafara wa Mamba kenge hawakosi View attachment 2953246
Mambo ya mhasibu fekiRage aliona mbali sana
Ujiiiinga, ujinga, ujinga, ujinga mtupuHapo vip!!
Mpira ni mchezo wa wawazi na data hazidanganyi.
Kwa tathmini inavyoonyesha yanga ndio timu dhaifu na mbovu kwa sasa katika hatua hii ya robo final club bingwa kwasababu zifuatazo:
1. Ndio timu pekee iliyoingia na point chache na za mwisho kuliko timu zote.
2. Ndio timu inayoongoza kwa kufungwa magoli mengi kwenye hatua ya makundi.
3. Simba ilipocheza na Ally ALHALY wakati wa super league wame draw ndani na nje ila yanga wamedraw ndani nje wakafungwa goli moja.
4. Belouizdad walicheza walewachezaji wa akiba,ambao ni Belouizdad namba 2, hivyo timu mbovu ingeweza kuwafunga hata Tabora boys wangewafunga nne.
5. Wanaomba wakutane na ASEC kwasababu ya ubovu wao.
Uliona mbaliMimi ni Simba, ila sisi ndio timu mbovu kwenye hatua ya robo. Hatuna striker kabisa, na hiyo ni hatua ngumu, nafasi zinakuwa chache ukishindwa kutumia mwenzako anatumia.
Wale mastriker urefu tu ila ni kichekesho, aliyesimamia usajili wao ni tapeli kapiga hela ya juu.
Mara 10 wangebaki Baleke na Phiri.
Kama hajasikia na hapa labda atamsikiliza babu yake akifufuka.Mmeanza news za KIPUMBAVU jaribuni kubadirika kifikra. Timu zote kutoka Tanzania ni MBOVU, tufurahi kwa pamoja kwa hatua zilipo kuingiza timu mbili nifuraha kwa Tanzania na mchezo wa soka, Ila kila kukicha nyuzi za kipumbavu tuu mawazo yakipumnbavu tuu mkue kiakili badirikeni wapuuzi nyie, kutumia ID fake isiwe chanzo cha mawazo yakipumbavu Kama haya.
Yani hata kocha hakuona mwenye kufaa kuanza kati yao mechi na Al AhlyUliona mbali
Simba ndo timu pekee iliyofungwa mpk sasa.Msafara wa Mamba kenge hawakosi View attachment 2953246
Home and awaySimba ndo timu pekee iliyofungwa mpk sasa.