Yanga ndio timu mbovu kwa sasa kwenye hatua ya robo final club bingwa

Mashindano hua ni magumu kabla Yanga hajashiriki akiingia tu yanageuka kua dhaifu tuliambiwa huku champions League hakuna kina Malumo ni kwa wanaume sasa hivi story zimebadilika CRB nae kawekwa kwenye kundi la wabovu
 
Sawa ni dhaifu sijui kwanini kwenye ligi dhaifu yupo juu yako, na mlipo kutana yalitokea maafa
Waamuzi wa kitanzania wanaweza kuibeba timu mbovu ikaibuka mshindi dhidi ya timu bora,kwasababu za bahasha,ushabiki na uwezo mdogo,na yanga inaongoza nchi hii kwa kubebwa na waamuzi,mfano mechi ya kagera na mashujaa...hivyo kombe la ligii linaweza likachukua timu mbovu mara kwa mara,na kwa mazingira haya makombe mengi aliyochukua yanga ni yawaamuzi na sio ya yanga
 
HATA ZILE 5 KWA 1 WAKINA CHAMA NA WENZIE WALIUZA MECHI

KWA HILO NAKUUNGA MKONO MKUU.
 
Kwahiyo kolo kucheza na wale makirikiri na kuwafunga goli 6 ndio imeshakuwa timu bora?
 
Akili huna
 
Mashindano hua ni magumu kabla Yanga hajashiriki akiingia tu yanageuka kua dhaifu tuliambiwa huku champions League hakuna kina Malumo ni kwa wanaume sasa hivi story zimebadilika CRB nae kawekwa kwenye kundi la wabovu
Aahaaa
 
Reactions: Vcf
💨 🚮
 
Mmeanza news za KIPUMBAVU jaribuni kubadirika kifikra. Timu zote kutoka Tanzania ni MBOVU, tufurahi kwa pamoja kwa hatua zilipo kuingiza timu mbili nifuraha kwa Tanzania na mchezo wa soka, Ila kila kukicha nyuzi za kipumbavu tuu mawazo yakipumnbavu tuu mkue kiakili badirikeni wapuuzi nyie, kutumia ID fake isiwe chanzo cha mawazo yakipumbavu Kama haya.
 
Au kwasababu wewevni shogo,unafikiri wanaume wengine wapo kama wewe..mimi sxfiri wala sifrwi natxmba tena kitxmbo cha hatari..wanaume mashabiki wa yanga wengi mnakuwa kama mashoga shogo na tabia za kike zimewajaaa
Sasa haya mambo yametoka wapi mbona vitu vingine vya kutumia akili tu
 
Sio mbovu sema underdog Kwa sababu Haina uzoefu kulinganisha na hao wengine
 
Au kwasababu wewevni shogo,unafikiri wanaume wengine wapo kama wewe..mimi sxfiri wala sifrwi natxmba tena kitxmbo cha hatari..wanaume mashabiki wa yanga wengi mnakuwa kama mashoga shogo na tabia za kike zimewajaaa
Mbona hakuna muunganiko hapo?
Au wewe ni popoma kweli? Mimi nilikua na guess tu kutokana na hand writing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…