Yanga ndiyo club ya kwanza duniani yenye mkopo na bado ikapata faida ya million 500

Yanga ndiyo club ya kwanza duniani yenye mkopo na bado ikapata faida ya million 500

mike2k

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2016
Posts
1,571
Reaction score
3,448
Yanga wameweka financial statements report yao juzi kwenye mkutano wao mkuu.

Ila kwa sisi wana uchumi wa brat na trap kuna sehemu haijaeleweka na tena viongozi wao wanajisifu kabisa.



Ni kwamba kwa mwaka wa fedha 2022/23 wameingiza faida ya million 500.

1687605095295.jpg


Ukiangalia kwenye mapato yao wana deni la zaidi ya billion 4.8 ambalo ni sawa na 26.9% ya jumla ya mapato yao ya mwaka uliopita wa fedha.

Na ukiangalia hapo kwneye matumizi deni halijalipwa. Yaani ni nje ya mkopo mapato yao hayakuweza kutoshea matumizi yao so wakakopa. Kwa hiyo hiyo 500 millions ni kiasi kilichobaki kwenye mkopo.

Nnajua humu kuna wahasibu na wazoefu wa hesabu za fedha naomba kujuzwa hapa.

Ukiwa na deni unaweza kusema una faida ilhali deni hilo halijalipwa?

Au ni kujisahulisha tu lakini lazima deni lilipwe mwaka mwingine wa fedha.

Sasa tuingie kwenye elimu ya finance and accounting.

Swali la msingi hapa
IS LOAN A REVENUE?
No, a loan is not a revenue. Revenue is the income that a company generates from its normal business activities, such as selling goods or services. A loan is a liability, which is a debt that a company owes to another party. The interest that is paid on a loan is an expense, not a revenue.

Hitimisho: MKOPO SIYO MAPATO.
 
Yanga wameweka financial statements report yao juzi kwenye mkutano wao mkuu.

Ila kwa sisi wana uchumi wa brat na trap kuna sehemu haijaeleweka na tena viongozi wao wanajisifu kabisa.



Ni kwamba kwa mwaka wa fedha 2022/23 wameingiza faida ya million 500.

View attachment 2669309

Ukiangalia kwenye mapato yao wana deni la zaidi ya billion 4.8 ambalo ni sawa na 26.9% ya jumla ya mapato yao ya mwaka uliopita wa fedha.

Na ukiangalia hapo kwneye matumizi deni halijalipwa. Yaani ni nje ya mkopo mapato yao hayakuweza kutoshea matumizi yao so wakakopa. Kwa hiyo hiyo 500 millions ni kiasi kilichobaki kwenye mkopo.

Nnajua humu kuna wahasibu na wazoefu wa hesabu za fedha naomba kujuzwa hapa.

Ukiwa na deni unaweza kusema una faida ilhali deni hilo halijalipwa?

Na pia yanga watuambie mashabiki zake ni benki ipi hiyo inakopesha bila kulipa tukajichotee mipesa.

Duuh! Vilaza mko wengi sana nchi hii! Inawezekana siyo akili yako bali umesikia mjadala mahali!

Hivi mfanyabiashara akikopa fedha za kukuza mtaji wake hapati faida?
 
Yanga wameweka financial statements report yao juzi kwenye mkutano wao mkuu.

Ila kwa sisi wana uchumi wa brat na trap kuna sehemu haijaeleweka na tena viongozi wao wanajisifu kabisa.



Ni kwamba kwa mwaka wa fedha 2022/23 wameingiza faida ya million 500.

View attachment 2669309

Ukiangalia kwenye mapato yao wana deni la zaidi ya billion 4.8 ambalo ni sawa na 26.9% ya jumla ya mapato yao ya mwaka uliopita wa fedha.

Na ukiangalia hapo kwneye matumizi deni halijalipwa. Yaani ni nje ya mkopo mapato yao hayakuweza kutoshea matumizi yao so wakakopa. Kwa hiyo hiyo 500 millions ni kiasi kilichobaki kwenye mkopo.

Nnajua humu kuna wahasibu na wazoefu wa hesabu za fedha naomba kujuzwa hapa.

Ukiwa na deni unaweza kusema una faida ilhali deni hilo halijalipwa?

Na pia yanga watuambie mashabiki zake ni benki ipi hiyo inakopesha bila kulipa tukajichotee mipesa.

ELIMU ELIMU ELIMU!MKUU hapa umepuyangaa!ungeuliza kwanza kabla kutoa conclusion yako
 
Mfanyabiashara mwnye deni la milion 10 benki hana haki ya kufurahia faida ya lako mbili mpaka amalize deni au siyo??sometimes tufiche ujinga wetu,mkopo haulipwi mara moja,
Ni kweli inawezekana mkopo usilipwe kwa mkupuo kutokana na makubaliano. Kwahiyo kwenye matumizi wangeonyesha at least wamelipa 100M then wakasema wamepata faida ya 400M kidogo tungeelewa, kuliko kutangaza faida ya 500M wakati mwaka mzima hawajapunguza deni.
 
Nime chokoza mada. Ndo nataka nijifunze hapa mkuu.
Ni kivipi napata faida huku nina deni.
Ujifunze ya nyoko,
Ungetaka kujifunza usingeanza na kuandika dharau kqa Yanga, ungeuliza inakuaje timu inadaiwa lakini inapata faida? Hapo ndio wataalam tungekuelimisha. Kolo wewe mwenye masikio kama upawa wa kuchotea makande.
 
Hii ndio ukisikiaumuhimu wa shule ndio maswala kama haya.

Kwanza mkopo hauna uhusiano na faida ila unaweza kuwa na uhusiano nabhasara iwapo gharama za mkopo(riba) ni kubwa hivyo kampuni au taasisi inaweza kuwa na mkopo ikapata faida na hata kutoa gawio.

Pili sio kila mkopo unapaswa kulipika ndani ya mwaka wa fedha hasa mikopo ya uwekezaji inaweza kuwa wa miaka 6 au hata 10. Hivyo kila mwaka kuna faida shirika au kampuni inapata bado mkoo ukaonekana.

Mwisho kuna watu wamekuwa wakihesabu mikataba iliyoingiwa na kusema mbona wamepewa fedha kidogo. Niwape nao shule kidogo

1. Suala la muda wa mkataba. Vs Muda wa hesabu za clab: Mwaka wa fedha cluba kama unaanza 1 may na kuishia 30 April.. mkataba wowote ukiingia mwizo wa kwanza yaani January utahesabika ni mwezi wa kwanza. Hivyo club ikifunga hesabu zake April itakuwa imepokea fedha za miezi 4 tu hivyo waliotegemea kuona fedha za mwaka mzima hawataziona na watashangaa. Hii ni kwa sabau ya suala la muda mwaka wa pili ndio wataiona full amount.

2. Suala la disbursement(mtirirko wa utoaji fedha) inawezekana pia fedha kutolewa kwa vipindi mfano miezi 3 mitatu. Sasa kabla ya malipo fulani kuiva ikawa ndio mwisho wa hesabu za shirika inakuwa na fedha hazijapokelew hivyo kinaweza kuona kidogo sana au kingi kuliko uhalalisia.

Hivyo kama hatujui tuwaulize wataalamu badala ya kupotosha umma
 
Mfanyabiashara mwnye deni la milion 10 benki hana haki ya kufurahia faida ya lako mbili mpaka amalize deni au siyo??sometimes tufiche ujinga wetu,mkopo haulipwi mara moja,
labda kama msimu ujao hawakopi tena, vinginevyo wanajidanganya!

umekopa mil 4, ukachanganya na zako toka vyanzo vingine, jumla una mil 17... ukapeleka kwenye kilimo, ukivuna mavuno ukapata milioni 17.5......

umeondoa matumizi yote, ukabakiwa na laki 5, utasema ni faida wakati hio deni hujaondoa?.....

ndio mana nasema labda kama huo mkopo ni uwekezaji (kwa case hapo juu ununuzi wa shamba), ndio utashangilia
 
Hivi 500M ni faida au ni baki ya pesa baada ya manunuzi?

Ukienda kununua product ya 5,000 ukafika ukakuta inauzwa 4,000 utasema buku ni faida?

Mi nadhani faida ni ile iliyotokana baada ya bidhaa ya 5,000 kuja kuuzika, sasa chenchi ya buku nayo inaitwa faida?
 
Kwenye zawadi za ushindi Yanga wame under state

Ligi Kuu 600000000
CAF Bilioni 2.4
FA 100,000,000

Walitakiwa waandike Bilioni 3
 
Back
Top Bottom