Yanga ndiyo club ya kwanza duniani yenye mkopo na bado ikapata faida ya million 500

Yanga ndiyo club ya kwanza duniani yenye mkopo na bado ikapata faida ya million 500

Hii ndio ukisikiaumuhimu wa shule ndio maswala kama haya.

Kwanza mkopo hauna uhusiano na faida ila unaweza kuwa na uhusiano nabhasara iwapo gharama za mkopo(riba) ni kubwa hivyo kampuni au taasisi inaweza kuwa na mkopo ikapata faida na hata kutoa gawio.

Pili sio kila mkopo unapaswa kulipika ndani ya mwaka wa fedha hasa mikopo ya uwekezaji inaweza kuwa wa miaka 6 au hata 10. Hivyo kila mwaka kuna faida shirika au kampuni inapata bado mkoo ukaonekana.

Mwisho kuna watu wamekuwa wakihesabu mikataba iliyoingiwa na kusema mbona wamepewa fedha kidogo. Niwape nao shule kidogo

1. Suala la muda wa mkataba. Vs Muda wa hesabu za clab: Mwaka wa fedha cluba kama unaanza 1 may na kuishia 30 April.. mkataba wowote ukiingia mwizo wa kwanza yaani January utahesabika ni mwezi wa kwanza. Hivyo club ikifunga hesabu zake April itakuwa imepokea fedha za miezi 4 tu hivyo waliotegemea kuona fedha za mwaka mzima hawataziona na watashangaa. Hii ni kwa sabau ya suala la muda mwaka wa pili ndio wataiona full amount.

2. Suala la disbursement(mtirirko wa utoaji fedha) inawezekana pia fedha kutolewa kwa vipindi mfano miezi 3 mitatu. Sasa kabla ya malipo fulani kuiva ikawa ndio mwisho wa hesabu za shirika inakuwa na fedha hazijapokelew hivyo kinaweza kuona kidogo sana au kingi kuliko uhalalisia.

Hivyo kama hatujui tuwaulize wataalamu badala ya kupotosha umma
Nmekusoma mkuu
 
356588057_285581230645587_6476552588662337305_n.webp.jpg
 
Ujifunze ya nyoko,
Ungetaka kujifunza usingeanza na kuandika dharau kqa Yanga, ungeuliza inakuaje timu inadaiwa lakini inapata faida? Hapo ndio wataalam tungekuelimisha. Kolo wewe mwenye masikio kama upawa wa kuchotea makande.
Mkuu umenitukana bure tu.
Nimefanya ka uchunguzi kidogo tu kwa club za ulaya zenye madeni.
Kwenye financial statements report zao kwenye upande expenditure wameonyesha kuwa wamelipa deni la mkopo.
Sasa hii ya kwenu ni kituko kwa sababu mkopo hamjalipa alagu mnasema mmepata faida.

Uoni hapo pana shida. Coz mapato bila huo mkopo singeweza kufanya matumizi. Kwa hiyo hata hiyo million 500 ni mkopo umebaki ka kiasi hapo.. Alafu mnakaita ni faida.

Na issue nyingine ni kwamba hamjaosheshwa kiasi alichotoa GSM.
Screenshot_20230626-125200.jpg
 
Mfanyabiashara mwnye deni la milion 10 benki hana haki ya kufurahia faida ya lako mbili mpaka amalize deni au siyo??sometimes tufiche ujinga wetu,mkopo haulipwi mara
Hii ndio ukisikiaumuhimu wa shule ndio maswala kama haya.

Kwanza mkopo hauna uhusiano na faida ila unaweza kuwa na uhusiano nabhasara iwapo gharama za mkopo(riba) ni kubwa hivyo kampuni au taasisi inaweza kuwa na mkopo ikapata faida na hata kutoa gawio.

Pili sio kila mkopo unapaswa kulipika ndani ya mwaka wa fedha hasa mikopo ya uwekezaji inaweza kuwa wa miaka 6 au hata 10. Hivyo kila mwaka kuna faida shirika au kampuni inapata bado mkoo ukaonekana.

Mwisho kuna watu wamekuwa wakihesabu mikataba iliyoingiwa na kusema mbona wamepewa fedha kidogo. Niwape nao shule kidogo

1. Suala la muda wa mkataba. Vs Muda wa hesabu za clab: Mwaka wa fedha cluba kama unaanza 1 may na kuishia 30 April.. mkataba wowote ukiingia mwizo wa kwanza yaani January utahesabika ni mwezi wa kwanza. Hivyo club ikifunga hesabu zake April itakuwa imepokea fedha za miezi 4 tu hivyo waliotegemea kuona fedha za mwaka mzima hawataziona na watashangaa. Hii ni kwa sabau ya suala la muda mwaka wa pili ndio wataiona full amount.

2. Suala la disbursement(mtirirko wa utoaji fedha) inawezekana pia fedha kutolewa kwa vipindi mfano miezi 3 mitatu. Sasa kabla ya malipo fulani kuiva ikawa ndio mwisho wa hesabu za shirika inakuwa na fedha hazijapokelew hivyo kinaweza kuona kidogo sana au kingi kuliko uhalalisia.

Hivyo kama hatujui tuwaulize wataalamu badala ya kupotosha umma
Mkuu umeeleweka vyema.
Kwa hiyo mkopo huu wa Yanga utaonekana kwenye hesabu zijazo.
 
Mfanyabiashara mwnye deni la milion 10 benki hana haki ya kufurahia faida ya lako mbili mpaka amalize deni au siyo??sometimes tufiche ujinga wetu,mkopo haulipwi mara moja,
Huu upuuzi ndo ulikuwa unafanywa na mashirika ya umma kipindi cha JPM.
WANAKOPA BENKI wanampelekea JPM kuwa ni faida.
Hiki kitu hakija kaa sawa.
Kukopa fedha alafu uiite ni faida.
Hii ni hesabu ya aina ghani?
 
Yanga wameweka financial statements report yao juzi kwenye mkutano wao mkuu.

Ila kwa sisi wana uchumi wa brat na trap kuna sehemu haijaeleweka na tena viongozi wao wanajisifu kabisa.



Ni kwamba kwa mwaka wa fedha 2022/23 wameingiza faida ya million 500.

View attachment 2669309

Ukiangalia kwenye mapato yao wana deni la zaidi ya billion 4.8 ambalo ni sawa na 26.9% ya jumla ya mapato yao ya mwaka uliopita wa fedha.

Na ukiangalia hapo kwneye matumizi deni halijalipwa. Yaani ni nje ya mkopo mapato yao hayakuweza kutoshea matumizi yao so wakakopa. Kwa hiyo hiyo 500 millions ni kiasi kilichobaki kwenye mkopo.

Nnajua humu kuna wahasibu na wazoefu wa hesabu za fedha naomba kujuzwa hapa.

Ukiwa na deni unaweza kusema una faida ilhali deni hilo halijalipwa?

Au ni kujisahulisha tu lakini lazima deni liipwe mwaka mwingine wa fedha.

😂😂😂 Mashabiki wa hizi timu zetu wanafanya kama watoto. Wamewawakea na mkopo Kama mapato ya club. Sasa fatilia huo mkopo wamepata kutoka wapi watashika kichwa kujua jamaa anawadai
 
Mkuu umeeleweka vyema.
Kwa hiyo mkopo huu wa Yanga utaonekana kwenye hesabu zijazo.
Mkuu huo mkopo muda wake ni miaka mingapi? Kama ni kumi utaendelea kuonekana next ten year. Kama ni miaka miwili maana yake utakoma baada ya hiyo miaka kuisha simple
 
Mfanyabiashara mwnye deni la milion 10 benki hana haki ya kufurahia faida ya lako mbili mpaka amalize deni au siyo??sometimes tufiche ujinga wetu,mkopo haulipwi mara moja,
Wamewalaghai. mkopo hauwekwi kwenye mapato ili kuangalia faida. Mkopo unatakiwa kuonekana kwenye balance sheet ambayo inaonesha mali zinazomilikiwa na club dhidi ya madeni ya club.
Kiujumla wamewapiga na kitu kizito kwenye utosi
 
Jamani kuna somo la financial literacy (tafsiri isiyo rasmi huduma za fedha) yanafundishwa bure tusome kidogo itakusaidia kuepuka aibu kama ya hii post
Mkopo kuwa sehemu ya mapato alafu haujaulipa unatuambia una faida.
Hiyo hata haiihitaji kusoma ni uongo wa kiwango cha makinikia.
Ndo ule upuuzi wa mashirika ya umma kipindi cha JPM. Yanakopa fedha bank alafu yanampelekea magufuli yanamwambia ni faida.
 
Mkopo kuwa sehemu ya mapato alafu haujaulipa unatuambia una faida.
Hiyo hata haiihitaji kusoma ni uongo wa kiwango cha makinikia.
Ndo ule upuuzi wa mashirika ya umma kipindi cha JPM. Yanakopa fedha bank alafu yanampelekea magufuli yanamwambia ni faida.
We kama hujui masuala ya fedha ni hujui yaani umeona viongozi wooote waliokaa na kuandika report ni mbulula kama wewe. Please give respect kwa taaluma za watu. Kama hujui omba ufahamishwe.

Simple hesabu tu. Nenda kwenye kampuni yeyote kubwa soma financial report kama unajua kuzisoma. Kwenye Profit and loss angalia sehemu ya faida je wamepata faida.

Kisha nenda kwenye balance sheet sehemu ya financed by utaona mkopo walionao.

Kampuni kubwa zotezina mikopo na zinatengeneza faida.

Narudia tena heshimuni taaluma za watu nawe utaheshimiwa katika taaluma yako
 
Yanga wameweka financial statements report yao juzi kwenye mkutano wao mkuu.

Ila kwa sisi wana uchumi wa brat na trap kuna sehemu haijaeleweka na tena viongozi wao wanajisifu kabisa.



Ni kwamba kwa mwaka wa fedha 2022/23 wameingiza faida ya million 500.

View attachment 2669309

Ukiangalia kwenye mapato yao wana deni la zaidi ya billion 4.8 ambalo ni sawa na 26.9% ya jumla ya mapato yao ya mwaka uliopita wa fedha.

Na ukiangalia hapo kwneye matumizi deni halijalipwa. Yaani ni nje ya mkopo mapato yao hayakuweza kutoshea matumizi yao so wakakopa. Kwa hiyo hiyo 500 millions ni kiasi kilichobaki kwenye mkopo.

Nnajua humu kuna wahasibu na wazoefu wa hesabu za fedha naomba kujuzwa hapa.

Ukiwa na deni unaweza kusema una faida ilhali deni hilo halijalipwa?

Au ni kujisahulisha tu lakini lazima deni liipwe mwaka mwingine wa fedha.
Mimi ni shabiki wa Yanga, profession yangu ni BA. Kuna kitu hapo hakipo sawa, hakuna faida endapo kama bado una deni ambalo halioneshi ngazi za ulipwaje wake. Hapo deni ni 4B, deni lina riba kiasi gani? Mbona ni loss kubwa sana hapo.
 
Mfanyabiashara mwnye deni la milion 10 benki hana haki ya kufurahia faida ya lako mbili mpaka amalize deni au siyo??sometimes tufiche ujinga wetu,mkopo haulipwi mara moja,
Unajua maana ya deni na kwa nini ulikopa kwa ajili ya biashara? Unajua maana ya faida ktk biashara mkuu?
 
Back
Top Bottom