Yanga ni nani anayesajili wachezaji?

Yanga ni nani anayesajili wachezaji?

Ni vizuri atakayekuwa kocha mkuu wa timu akahusika kwa zaidi ya 80% katika kufanya usajili wa wachezaji atakaowatumia kwenye msimu unaofuata. Hii itamfanya awajibike kama wachezaji hao hawataonyesha juhudi kwenye ligi na timu kushindwa kupata matokeo chanya.

Kocha Mkuu kukuta wachezaji ambao hajawapendekeza yeye ni sawa na kuutanguliza mkokoteni mbele ya farasi.

Atakayekuwa kocha Mkuu wa club ya Yanga kwa msimu wa 2020/21 anahusika kikamilifu kwenye kuacha na kusajili wachezaji wapya? Maana kosa letu Yanga kwenye msimu huwa linaanziaga hapo.
kocha mkuu akija atajua mapungufu ya timu! Yanga wanasajili kutokana na ripoti ya kocha aliyeondoka sababu anajua mapungufu ya timu.
 
Msijitie ujuaji, hata ukiajili kocha mkuu sasa hivi hiyo scouting atafanya saa ngapi? Ligi imeisha tathmini ndiyo inayofanyiwa kazi! Usisahau Msolla naye ni kocha professionally!
 
MO kunamajukumu mengi anayafanya Kama mshabiki wa Simba au kwa makubaliano maalum na uongizi uliopo madarakani kwa sasa.mfano usajiri,posho, bonas, mishahara n.k Tuchukulie MO hajitoi, anabaki Kama Share holder ajihusishi na Mambo yaliyofanywa nje ya mkataba wake yanayo husu mishahara, bonas, usajili n.k
Simba Kama klabu/kampuni ina bishara gani ambayo itaweza kuingiaza faida ambayo wataweza kugawa na shareholder wake? Mnapoitwa Wana Simba mbumbumbu si uongo ni uhalisia.

Majengo yote na Mali zote za Simba ambazo haziamishiki thamani yake hazizidi bilioni 4 alafu Mwekezaji aweke bilioni 20 ivi mnamwona MO mbumbumbu mwenzenu!!.
Gharama alizotumia MO mbaka sasa zinatosha kuwaambia Simba ni Mali yake. Uzuri wa awajamaa kila fedha anayokupa anaiwekea kumbukumbu. Nijambo la muda tu pale MO atakapo itaka Timu yake aibadili iwe ya kriket
au arudishiwe gharama alizotumia ku wakopesha kwa makubaliano maalum ambayo viongozi wanayafahamu uku wanachama hawayafahamu.
 
Yanga achaneni na akina Molinga wanaohitaji mechi 6 wafunge goli 1, mchukueni Waziri Junior mtanishukuru.
 
hivi siku GSM wakijitoa kama walivyotaka kufanya kipindi fulani,nani atalipa hao wachezaji. wachezaji wa kigeni nao wawe wanaelewa vizuri legal stutus na financial capacity ya kampuni ili kujua employment risks zikoje
Mishahara watalipa Yanga gsm wanatoa ada ya uhamisho
 
Mo alijitoaje?yule ni shareholder na alisema angeendelea kuwajibika kama mwana hisa. Tatizo huelewi kitu
Wewe ndio huelewi. Manake kwa sasa anatoa sana pesa yake mfukoni kuisaidia klabu hivyo kubaki kuwa shareholder Wa kawaida manake angesitisha pia kutoa zile pesa zake na ndio maana akaliliwa na kuangukiwa kwa magoti usiku Wa manane
 
Nionavyo haya yalikuwa mapendekezo ya kocha aliyepita Luc Emayel.

[emoji848][emoji848]Lakiniiiii Mbona kama mikia ndio mnaumia sana na hili jambo Mtani?
Mtani ligi ikianza hatutaki makasiriko[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani luc emayel msimu ujao atakuwepo??? Mshafeli mtihani.
 
Mtani ligi ikianza hatutaki makasiriko[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani luc emayel msimu ujao atakuwepo??? Mshafeli mtihani.
Cha ajabu nyie ndo mnaliona hilo Mtani.

Niulize ni mchezaji gani pale kwenu ambaye ni chaguo la kishingo yaani usajili wake uliafanyika baada ya yeye kufika?
 
Mtani ligi ikianza hatutaki makasiriko[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwani luc emayel msimu ujao atakuwepo??? Mshafeli mtihani.
Hatokuwepo ila kwa jinsi timu ilivyokuwa, mapungufu mengi ni hayo hayo yanayofanyiwa kazi sasa ambayo mtu yeyote angehitaji maboresho katika hizo sehemu.
 
Mikia wakiambiwa wakoroge inya ya Mo wanywe kama juice ya embe wanakubali
 
Wewe ndio huelewi. Manake kwa sasa anatoa sana pesa yake mfukoni kuisaidia klabu hivyo kubaki kuwa shareholder Wa kawaida manake angesitisha pia kutoa zile pesa zake na ndio maana akaliliwa na kuangukiwa kwa magoti usiku Wa manane
Hawawezi kukuelewa mkuu coz wanaendekeza sana ushabiki kuliko uhalisia. Pale simba bado hakuna mfumo wa kusustain timu, bado wanategemea hisani ya MO, siku akijiondoa tu timu nzima chalii. Na hao mapro wao wa bei mbaya hao watakoma kuwalipa.
Na sijui kama bado ana muda mrefu wa kuendelea kutoa pesa zake kwa hasara. MO huwa yuko smart sana kichwani kulinda cashflow ya biashara, sijui kama ataendelea tu kutoa pesa zake ilihali kinachoingia hakilingani na anachotoa.
 
Cha ajabu nyie ndo mnaliona hilo Mtani.

Niulize ni mchezaji gani pale kwenu ambaye ni chaguo la kishingo yaani usajili wake uliafanyika baada ya yeye kufika?
Wakikutajia nistue mkuu
 
Hili sasa limekuwa tatizo sugu kwa hivi vilabu vyetu. Kenye mpira wa kisasa sharti kocha aombe au aridhie kusajiliwa mchezaji flani. Hata wale atakaowakuta ni sharti awaridhie. Vinginevyo hakuna muunganiko baina ya benchi na wachezaji.
 
Back
Top Bottom