Yanga ni nani anayesajili wachezaji?

Yanga ni nani anayesajili wachezaji?

Shida ya Yanga sio kwenye kusajili wachezaji, Bali kwenye kumsajili kocha.
Nawashauri Yanga sajilini Wachezaji mnaowaona wanafaa ila pia mtafute kocha anayeijua falsafa ya timu kama Mkwasa.
Yanga wanabahati ya kupata makocha wazuri ila shida ipo kwa wachezaji wanaosajiliwa ndio wabovu.
 
VP bilioni 20 amesha weka kwenye account ya simba?
Tatizo lake ni wale 51% ambao ndani yake na tumbili wamo, serikali imo, TRA imo, TISS imo na Mzee Kaduguda aliyedai chapati zake alizowanunulia wachezaji. Unadhani MO ni mjinga wa kiasi hiko?
 
Mmh hapana, shida kubwa pale ni wachezaji, hawakuwa na viwango vya kuchezea yanga. Tukiacha ushabiki simba ana kikosi bora, ndo maana kila kocha anayeletwa anapata matokeo. Kocha huyo huyo ukimwamishia yanga kuwakochi kina Yipe, Molinga, Tariq n.k anachemsha mbaya.

Zahera alipewa hela usajili akaleta magarasa tupu, na timu ikaanza kwa kichapo licha ya matumaini kibao aliyowapa washabiki. Usisahau kuwa kile kikosi alichokuwa anapata matokeo (cha kina Makambo) hakikuwa chake, wale wachezaji aliwakuta wote

Duh zahera kamkuta makambo? Makambo aliletwa yanga na msolla au na gsm?
 
Walifukuza makocha wakati wa usajili ili wasajili wao
 
Mmh hapana, shida kubwa pale ni wachezaji, hawakuwa na viwango vya kuchezea yanga. Tukiacha ushabiki simba ana kikosi bora, ndo maana kila kocha anayeletwa anapata matokeo. Kocha huyo huyo ukimwamishia yanga kuwakochi kina Yipe, Molinga, Tariq n.k anachemsha mbaya.

Zahera alipewa hela usajili akaleta magarasa tupu, na timu ikaanza kwa kichapo licha ya matumaini kibao aliyowapa washabiki. Usisahau kuwa kile kikosi alichokuwa anapata matokeo (cha kina Makambo) hakikuwa chake, wale wachezaji aliwakuta wote
kama hujui au umesahau itapendeza ukakaa kimya, Makambo kaletwa na nani Yanga?
 
GSM ndo inasajili kwa kutumia maelekezo ya kocha vipensi, mwakani tutawapiga 6G acha wajichanganye utopolo
 
MO kunamajukumu mengi anayafanya Kama mshabiki wa Simba au kwa makubaliano maalum na uongizi uliopo madarakani kwa sasa.mfano usajiri,posho, bonas, mishahara n.k Tuchukulie MO hajitoi, anabaki Kama Share holder ajihusishi na Mambo yaliyofanywa nje ya mkataba wake yanayo husu mishahara, bonas, usajili n.k
Simba Kama klabu/kampuni ina bishara gani ambayo itaweza kuingiaza faida ambayo wataweza kugawa na shareholder wake? Mnapoitwa Wana Simba mbumbumbu si uongo ni uhalisia.

Majengo yote na Mali zote za Simba ambazo haziamishiki thamani yake hazizidi bilioni 4 alafu Mwekezaji aweke bilioni 20 ivi mnamwona MO mbumbumbu mwenzenu!!.
Gharama alizotumia MO mbaka sasa zinatosha kuwaambia Simba ni Mali yake. Uzuri wa awajamaa kila fedha anayokupa anaiwekea kumbukumbu. Nijambo la muda tu pale MO atakapo itaka Timu yake aibadili iwe ya kriket
au arudishiwe gharama alizotumia ku wakopesha kwa makubaliano maalum ambayo viongozi wanayafahamu uku wanachama hawayafahamu.
Acha kujidanganya hizi sio zama za Serikali legevu mwambie ajaribu kufanya huo ujinga Kama hajaozea jela, yeye shareholder yake ni 49% na 51 ni za wanahisa wengine utasemaje siku ataidai Simba iwe yake tumia akili pia punguza matumizi ya hicho kilevi unachotumia kinakudhuru
 
Yanga wanabahati ya kupata makocha wazuri ila shida ipo kwa wachezaji wanaosajiliwa ndio wabovu.
Upo sahihi ila pamoja na kupata hao makocha wazuri hawajui jinsi ya kuwatengeneza wawe na discipline ndani ya timu. Tuliona Zahera tukaja kwa Luc.
 
Akili zingine za ajabu Yanga bado hajapata kocha kwahiyo wasubiri wampate kocha ndipi wasajili mbona mambo ya ajabu wakae tu wamsubiri kocha sisi watu wa zamani baadhi ya wachezaji walikuwa wanasajiliwa na viongozi na kocha anawapokea hongera uongozi wa Yanga kocha atawakuta wachezaji waziri na yeye atawaunganisha
 
Yanga mpaka Sasa hawana timu Ila Wana kundi la wachezaji. Hili ni tatizo wakati huu ligi inapokaribia kuanza. Haijulikani hawo wachezaji watacheza mfumo na falisafa gani hadi Sasa zikiwa zimebaki wiki 2 za kick-off ya vpl
 
Nani amesajili wachezaji? Waliosajiliwa walikuwa mahitaji ya kocha yupi?
 
Akili zingine za ajabu Yanga bado hajapata kocha kwahiyo wasubiri wampate kocha ndipi wasajili mbona mambo ya ajabu wakae tu wamsubiri kocha sisi watu wa zamani baadhi ya wachezaji walikuwa wanasajiliwa na viongozi na kocha anawapokea hongera uongozi wa Yanga kocha atawakuta wachezaji waziri na yeye atawaunganisha
Waliomfukuza kocha hawakujua kuwa kuna usajili unakuja?
 
Tatizo nidhamu na,mgawanyo wa,majukumu yaani wote,pale wamekuwa kama kambare tu. na,wote wanataka ufalme wa,kidimbwi apo ndo,kaze ana,kazi
 
Mtajiju,mlikvyokuwa mnaandamana kwenda airport kupokea mcheza baikoko hamkujiuliza nani anasajili? Na mlivyo wapumbavu mkaenda kumbeba mabegani akiwa amekaa kwenye kiti,Luc hakukosea kuwafananisha na kima. Mnabweka bweka sana kama mbwa koko
View attachment 1717730
 
Shida yetu Yanga pale ni uwekezaji.panatakiwa usajili wa wachezaji ma pro kwa maana kuanzia kati hadi mbele waletwe nyota toka nje ya nchi waungane na akina tk,saidor,mukoko, yacouba,fiston,,sarpong na calinhous....tuhakikishe wachezaji wote wazawa wanaocheza kati na mbele tuachane nao akiwemo Niyonzima...
 
Back
Top Bottom